Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Siku ukijua kwamba Tanzania ni nchi nzuri sana kuishi ukiwa na hela kuliko ukiwa kapuku ndio utaelewa kwanini matajiri wengi hawatoki kwenda Ulaya japo wamewekeza huko Ulaya.

Bongo ukiwa na hela kidogo tu nchi itakutambua na wewe kila sehemu utakuwa unapewa VIP treatment. Sio hospitalini, sio bank wala sehemu yoyote ya starehe ama mahotelini. Kero za mamlaka za serikali pia utaishia kuzisikia kwenye vyombo vya habari tu.

Bongo kuna peace of mind sana kama unamiliki utajiri hata wa kawaida tu ila ukawa una affiliates kwenye system ya serikali. Hakuna jambo lako litakwama na msaada ni wa haraka sana ukihitaji.

Kwa masikini bongo ni jehanamu kwa sababu hayo yote niliyoyaandika yatakuwa kinyume chake 🤣🤣🤣! Kwa mtu maskini bongo ndio anapaswa afungashe virago akimbilie ulaya haraka iwezekanavyo.
Akili Yako haipo sawa yaani Tanzania ni nchi nzuri jaribu kutembea kidogo nchi za Europe au American utakuja kufuta huu utumbo wako na utajilaumu sana hujatembea wewe
 
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kuadhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Ukiwa na pesa hakuna mahali pazuri pa kuishi kama Tanzania! Hutaweza kutambua hili hadi uwe umeishi huko Ulaya kwa muda kidogo.
 
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Mo umri umeenda??
 
1. Ni wewe na akili zako za kimasikini ndo unaona wametoboa. Huenda wao pia hawapati usingizi, wakikazania watoboe. Viwango vya kutoboa ni tofauti kwa kila mtu.
2. Chukulia scenario hii: kwenda kuishi sehemu ambayo watu wengi wana uchumi kama wako au kuishi sehemu ambayo umewazidi uchumi kwa kiasi kikubwa. Wapi utaheshimika zaidi? Wapi utapata fursa nyingi zaidi? Wapi utafurahia maisha zaidi,?
3. Chini ya jua la bongo hii hii kuna sehemu hazinuki, kuna sehemu hazina joto wala bardi kupindukia na unaweza pata hitaji lolote la moyo wako
 
1. Ni wewe na akili zako za kimasikini ndo unaona wametoboa. Huenda wao pia hawapati usingizi, wakikazania watoboe. Viwango vya kutoboa ni tofauti kwa kila mtu.
2. Chukulia scenario hii: kwenda kuishi sehemu ambayo watu wengi wana uchumi kama wako au kuishi sehemu ambayo umewazidi uchumi kwa kiasi kikubwa. Wapi utaheshimika zaidi? Wapi utapata fursa nyingi zaidi? Wapi utafurahia maisha zaidi,?
3. Chini ya jua la bongo hii hii kuna sehemu hazinuki, kuna sehemu hazina joto wala bardi kupindukia na unaweza pata hitaji lolote la moyo wako
Kutoboa ni kiwango Gani kama wao bado hawajatoboa na Kwa umri huo waliokua nao
 
Hizi ndo AKILI za MTU mweusi anawaza ku-spend badala ya ku-earn more.

Ungesema wawekeze ulaya hapo you could make sense.

Sometimes umasikini ni Kama laana unakufanya uone wenzako wanye pesa wanakosea kuishi.

If you know nothing you can speak and write nothing.
 
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Limbukeni wewe.
 
Hizi ndo AKILI za MTU mweusi nawaza ku-spend badala ya ku-earn more.

Ungesema wawekeze ulaya hapo you could make sense.

Sometimes umasikini ni Kama laana unakufanya uone wenzako wanye pesa wanakosea kuishi.

If you know nothing you can speak and write nothing.
Wewe kweli hujielewi usipo waza kuspend utawaza nini si kinachofuata ni kifo au unadhani utaishi milele kwenye hii dunia
 
Back
Top Bottom