Nawashukuru sana wafanyabiashara wa usafiri wa mabasi mlioamua kuiunganisha kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini

Nawashukuru sana wafanyabiashara wa usafiri wa mabasi mlioamua kuiunganisha kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Wakuu

Previous hakukua na dalili za mtu kutoka direct from lake zone to nyanda za juu kusini.

But kutokana na utashi na exposure ya watu wa maeneo husika sasa hivi usafiri wa hizo pande mbili upo muda wote.

Mfano jana nimetoka Mwanza saa saa 10 jioni ila leo saa 7 au 8 hivi nimefika Mbeya na hapa nipo nakula bia na kitimoto choma mwairubi.

Nawashukuru wafanyabiashara coz this is your effort, serikali ilikua imelala usingizi wa pono.
 
Nice
Wakuu

Previous hakukua na dalili za mtu kutoka direct from lake zone to nyanda za juu kusini.

But kutokana na utashi na exposure ya watu wa maeneo husika sasa hivi usafiri wa hizo pande mbili upo muda wote.

Mfano jana nimetoka Mwanza saa saa 10 jioni ila leo saa 7 au 8 hivi nimefika Mbeya na hapa nipo nakula bia na kitimoto choma mwairubi.

Nawashukuru wafanyabiashara coz this is your effort, serikali ilikua imelala usingizi wa pono.
 
kama we ni mwanaume unaandika hivi kushukuru provided kwamba unalipa nauli kwenye hizo basi unaonekana upo weak sana
 
Back
Top Bottom