Nawashwaaa naomba ushauri

Yeah ukizingatia hiyo staili yenu ya kukojoa nyie ME mtu anasimama hapa kojo linaruka kuleee yani hata pa kukanyaga ilikua ni shida
ah haha haaa...........poole mama, si ajabu ME wengine walikuwa wanasimama mlangoni afu wanarusha hadi kwenye tundu la sink,lols, go for clinical experiment mana the earlier the better
 
Nenda hospital, ila usiache kupakuna, pakune pakunike, pakuneeee weeeee mpaka paelewe kukunwa ni nini!!
 
ah haha haaa...........poole mama, si ajabu ME wengine walikuwa wanasimama mlangoni afu wanarusha hadi kwenye tundu la sink,lols, go for clinical experiment mana the earlier the better

Yani chini kwenye sakafu palijaa mikojo tupu aseee!
 
Pole dadaaaa mahondaw... ni iamni yangu utapona tu muda si mrefu. si unajua mambo ya kazi na dawa?

Yeah thanks God nimeanza matibabu na naendelea vizuri japo dawa nyingine nilizishauriwa duuhhhhh!
 
Last edited by a moderator:

bado tu unawashwaaaa? nimechelewa kufika.
 
Nenda hospital, ila usiache kupakuna, pakune pakunike, pakuneeee weeeee mpaka paelewe kukunwa ni nini!!

Haaa nikithubutu kukuna ndio nasikia utamu zaidi na zaidi afu fangasi banah sijui zikoje! !
 
Haaa nikithubutu kukuna ndio nasikia utamu zaidi na zaidi afu fangasi banah sijui zikoje! !

Hizo ni fangus za vyoo, nenda fasta!! mi kuna dem ilikuwa nikigonga tu, kesho yake naanza kuwashwa!! nikipaka dawa ya fungus inaisha, nikigonga tena nawashwa, napakuuuuuuunaaa, napaka nawa inaisha, ila sikomi, naenda tena nagonga!! dem alikuwa na zigo la maana na shape pia, so nashindwa kuacha!!
 
Samahani kwa kutoka nje ya mada,nina mtoto mdogo umri mwaka 1.2,kama wik 2 nyuma alipata maleria aliharisha sana akapoteza uzito na kupungu,alipata matibabu ,sasa kuanzia pale tatizo la kuharisha limekuwa sugu,nikienda private hsptl napewa dawa za kuzuia japo nazo naona hazisaidii,mtoto hatak kula,akila anatapika!na choo anapata mara nyingi majimaji tu,Naomba msaada ni hosptl gan nzur kwa watoto,nipo dar.cc MZIZI MKAVU,MAHONDAN
 
Mzizi mkavu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…