Nawashwaaa naomba ushauri

Nawashwaaa naomba ushauri

First does ur itchness comes with any discharge,if not try clortimazole or Candida cream or suppository apply twice per day on other Side if there is discharge and any foul smell get to hospital to be tested for STD bring ur partner/s too
 
Wasalaaaaaam wana jamvi!

Kama mnavojua mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua. Juzi kati hapa nilikua kwenye semina flani hivi hukoo mahala kwa muda wa wiki mbili.

Kwa eneo ilipofanyika semina hiyo zile huduma zetu zile za long calls na short calls zote zilikua sehemu moja tu yani jinsia zote mbili ME &KE tulipata huduma sehemu moja tu just imagine jamani dah!

Sasa tangu nitoke seminani kuna hali flani hivi ya muwasho imekuwa ikinipata kuleeee kwenye maeneo around K. Kwenye mashavu ya K kwa juu juu nawashwa sana mpaka nakosa raha ofisini hapakaliiki nyumbani kutwa kujikuna!

Je nitumie dawa gani ambayo haitanidhuru kule pangoni bandugu as you know the area is so sensitive??

Nawasilisha.

aisee,ningepata bahati ya kukukuna naamini huu ugonjwa usingerudi
 
Wasalaaaaaam wana jamvi!

Kama mnavojua mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua. Juzi kati hapa nilikua kwenye semina flani hivi hukoo mahala kwa muda wa wiki mbili.

Kwa eneo ilipofanyika semina hiyo zile huduma zetu zile za long calls na short calls zote zilikua sehemu moja tu yani jinsia zote mbili ME &KE tulipata huduma sehemu moja tu just imagine jamani dah!

Sasa tangu nitoke seminani kuna hali flani hivi ya muwasho imekuwa ikinipata kuleeee kwenye maeneo around K. Kwenye mashavu ya K kwa juu juu nawashwa sana mpaka nakosa raha ofisini hapakaliiki nyumbani kutwa kujikuna!

Je nitumie dawa gani ambayo haitanidhuru kule pangoni bandugu as you know the area is so sensitive??

Nawasilisha.
Aisee wakunaji wameenda wapi??
 
pole wah hosptali

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Back
Top Bottom