Kwa nchi nyingi za kiafrika, Korea kaskazini, Urusi na kwingineko demokrasia bado kukubalika ipasavyo; kwa hiyo kuingia kwenye siasa unaonekana wewe ni kizuizi kwa wanufaika, inayopelekea kuwa na maadui wengi.
Ndio maana wengi wanajikita kushangilia mipira, kwa sababu eneo hilo ndio halina changamoto.