Nawasikiliza wabunge wa Katavi wakiongea na Rais Samia; wanalalamika sana, wanamshukuru sana na wanampongeza sana Rais

Nawasikiliza wabunge wa Katavi wakiongea na Rais Samia; wanalalamika sana, wanamshukuru sana na wanampongeza sana Rais

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Hizo ndio siasa zisizoeleweka za Tanzania. Sasa hivi hapa nawasikiliza wabunge wa mkoa wa Katavi wakizungumza na Rais Samia aliyemaliza ziara yake mkoani Katavi. Nawasikiliza wabunge hao wakilalamikia sana mambo mbalimbali ya mkoa wao, wakati huo huo wanamshukuru na kumpongeza sana rais kwa kufanya mambo makubwa mkoani humo!

Sisi wananchi hatujui ni nini kinaendelea hapa naona kama ni sinema au angalau mchezo wa kuigiza.
 
Hizo ndio siasa zisizoeleweka za Tanzania. Sasa hivi hapa nawasikiliza wabunge wa mkoa wa Katavi wakizungumza na rais Samia aliyemaliza ziara yake mkoani Katavi. Nawasikiliza wabunge hao wakilalamikia sana mambo mbalimbali ya mkoa wao, wakati huo huo wanamshukuru na kumpongeza sana rais kwa kufanya mambo makubwa mkoani humo!

Sisi wananchi hatujui ni nini kinaendelea hapa naona kama ni sinema au angalau mchezo wa kuigiza.
Ukiona hivyo ujue akili zao hazina akili.
 
Hizo ndio siasa zisizoeleweka za Tanzania. Sasa hivi hapa nawasikiliza wabunge wa mkoa wa Katavi wakizungumza na rais Samia aliyemaliza ziara yake mkoani Katavi. Nawasikiliza wabunge hao wakilalamikia sana mambo mbalimbali ya mkoa wao, wakati huo huo wanamshukuru na kumpongeza sana rais kwa kufanya mambo makubwa mkoani humo!

Sisi wananchi hatujui ni nini kinaendelea hapa naona kama ni sinema au angalau mchezo wa kuigiza.
Ni sawasawa na kinachotokea Bungeni katika nyakati hizi za Bunge la Chama kimoja..........

Utakuta Mbunge katika muda aliopewa wote, analalamika sana kuhusu jimbo lake kutopatiwa huduma mbalimbali, lakini hatimaye utamsikia mbunge huyo huyo, anaunga mkono bajeti kwa asilimia 100!😅
 
Kuna jamaa moja alianzisha uzi akasema halmashauri ya Rukwa(kama sijakosea) imevuka kiwango cha ukusanyaji mapato ya halmashauri hadi kuweza kufanya miradi ya maendeleo wenyewe ikiwemo kujenga na shule. Na picha ya shule mpya akaambatanisha.
Halafu akasema halmashauri hiyo inamshukuru sana mama samia kwa kutoa bilioni 3 za kujenga shule. Sijaelewa hadi leo
 
Hizo ndio siasa zisizoeleweka za Tanzania. Sasa hivi hapa nawasikiliza wabunge wa mkoa wa Katavi wakizungumza na rais Samia aliyemaliza ziara yake mkoani Katavi. Nawasikiliza wabunge hao wakilalamikia sana mambo mbalimbali ya mkoa wao, wakati huo huo wanamshukuru na kumpongeza sana rais kwa kufanya mambo makubwa mkoani humo!

Sisi wananchi hatujui ni nini kinaendelea hapa naona kama ni sinema au angalau mchezo wa kuigiza.
Ndio tabia ya watu rukwa na katavi!
 
Hizo ndio siasa zisizoeleweka za Tanzania. Sasa hivi hapa nawasikiliza wabunge wa mkoa wa Katavi wakizungumza na rais Samia aliyemaliza ziara yake mkoani Katavi. Nawasikiliza wabunge hao wakilalamikia sana mambo mbalimbali ya mkoa wao, wakati huo huo wanamshukuru na kumpongeza sana rais kwa kufanya mambo makubwa mkoani humo!

Sisi wananchi hatujui ni nini kinaendelea hapa naona kama ni sinema au angalau mchezo wa kuigiza.
Ukweli wanaujua, wao wanalipwa 18M nje na posho + rushwa kwa mwezi
 
Malalamiko huwa hayaendani na pongezi hata siku moja.

Hayo ni maigizo.
 
Back
Top Bottom