Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nimepata tatizo nilikuwa naweka pesa kwenye account ya Mpesa visa kiasi cha Tsh 80000 ili nifanye malipo mtandaoni ila sasa salio silioni kwenye Mpesa Visa.
Huku Mimi nimesharudishiwa sms kuwa salio nimeshaliweka Mpesa Visa.
Huku Mimi nimesharudishiwa sms kuwa salio nimeshaliweka Mpesa Visa.