BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Sasa kuna mipimbi pori humu itakubishiaKwakwel Voda ni kama kuongea na Customer services iyo huduma wameitoa...ilibidi mimi niende Voda Shop kutatua shida yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna mipimbi pori humu itakubishiaKwakwel Voda ni kama kuongea na Customer services iyo huduma wameitoa...ilibidi mimi niende Voda Shop kutatua shida yangu
Hio haipo pitiapitia comments huko juu usimpoteze mwenzio option ni social media pages zao tu ndio unatapa suluhisho kinyume na hapo utasaga lamiWanapokea chap
Kuna maboga humu yanakubishia kwamba wewe sio mteja VVIP wa VodacomVodacom huduma kwa wateja upande wa kuongea na mhudumu labda uwe mteja wa VIP Services kama corporate users...lasivyo utakiona cha moto
Mimi nazungumza kwa experience yangu. Pia kama namba yako ni ya kitambo sana wanakuzingatia. Mimi nimeanza nao 2003 wakiwa na miaka mitatu nchiniHio haipo pitiapitia comments huko juu usimpoteze mwenzio option ni social media pages zao tu ndio unatapa suluhisho kinyume na hapo utasaga lami
Achana nae huyo akili hana ni dume fulani lenye mipumbu iliyokomaa linajiita MshangaziSio lazima utoe maoni yako ili uonekane kichwani kuna kinyesi badala ya ubongo
Kule tayari unawaingizia fedha kwa kuperuzi boss na huku kulonga wanataka fedha nyingine nje yaa nadhani umenielewa?Sasa unaona huo ujinga Insta mboni hawatozi hata 100 nyeusi ukiwacheck DM? Na wanatatua tatizo ndani ya sekunde kadhaa
Mimi nimekua nao kabla yako na sizingatiwi hakuna huduma ya VIP Vodacom usitulishe uongoMimi nazungumza kwa experience yangu. Pia kama namba yako ni ya kitambo sana wanakuzingatia. Mimi nimeanza nao 2003 wakiwa na miaka mitatu nchini
Kuingiza fedha kivipi we mduwanzi wa wapi kwani si nimenunua kifurushi au unazungumzia nini?Kule tayari unawaingizia fedha kwa kuperuzi boss na huku kulonga wanataka fedha nyingine nje yaa nadhani umenielewa?
Sijasema hiyo NI VIP kaka. Mimi Leo nimekosea lipa Kwa Mpesa nimewapigia nikawapata na haikuzidia dakika tatuMimi nimekua nao kabla yako na sizingatiwi hakuna huduma ya VIP Vodacom usitulishe uongo
SijafanikiwaPiga 100... chagua option ya kuripoti uhalifu (no 5) then utaongea na mtoa huduma tatizo lako
Kwa hio unataka kutuambia kwamba kwenye Checklist yao ya wateja muhimu zaidi km rais wa Nchi au Waziri na Wewe umo?Sijasema hiyo NI VIP kaka. Mimi Leo nimekosea lipa Kwa Mpesa nimewapigia nikawapata na haikuzidia dakika tatu
Achana na hio option ya kiduanzi ingia social media page wana social media managers ambao wapo active online muda wote ukituma unajibiwa kwa wakati anzia Insta kisha leta feedback utasimuliwaSijafanikiwa
As in mtoa huduma hajapokea?Sijafanikiwa
Mtoa huduma ulimweka wewe? Yaan unauliza km Wewe ndio mtoa huduma? Mpe namba yako basi umpe huduma yeye hajakupataAs in mtoa huduma hajapokea?
Social media page Only kinyume na hapo wahi Vodacom HQ ukalalamikeMkuu hapo utachemka,kuwasiliana na voda customer care ni ngumu
Sijui.Kwa hio unataka kutuambia kwamba kwenye Checklist yao ya wateja muhimu zaidi km rais wa Nchi au Waziri na Wewe umo?
Apo kweli mkuuSocial media page Only kinyume na hapo wahi Vodacom HQ ukalalamike
Basi wengine hawapo kwenye list ndio maana hawapokei au wewe hua unaweka appointment kabla hujapiga mteja VVIP wa Vodacom?Sijui.