Nawatakia Waislam wote Ramadhan njema, haya ni yangu machache

Nawatakia Waislam wote Ramadhan njema, haya ni yangu machache

Umesema vyema kusema Maoni yako.

Kama ungekuwa unazijua dini vizuri ungejua na kuelewa kuwa kuna miungu wengi.
Na kila mungu anajinasibu kuwa ni muumba wa Mbingu na Nchi.

Mungu wa Waislam na Wakristo ni tofauti kabisa labda kama wewe sio mwanazuoni WA hizo Dini
Sema naappreciate your level in politics
 
Shida ni unafiki wa wafuasi wa hii dini,mwezi 1 wa toba,miezi 11 ya uovu na dhambi.
Wrong idea... Waovu wako katika kila walk of life not only in Islam au wafuasi wake... Bible Ina history ya wafuasi makatili na wanafiki. Byzantine, knights, Roman Empire and its continuation the Byzantine Empire, the Russian Empire, the Spanish Empire, the British Empire, the Portuguese Empire, and the Frankish Empire bila kusahau crusades.
 
Ages after ages, kufunga kulitambulishwa na mitume wote na hata Nabii Issa(A.S) alikuwa AKIFUNGA na haikuitwa Ramadan ilikuwa inatbulika kama observance kuwa karibu na Muumba wako. Tambua hilo.
 
Ramadhan Menu Plan
.

Day1:

Tende

Shurba

Chapati

Maharagwe ya nazi

Samaki wa kukaangaa


Day2:

Kaimati

viazi karai

Chapati na Mbaazi

Fruit Custard



Day3:

Bajia

Cutlets

Shurba

Chapati

Viazi vya Rojo

Nyama ya kukangaa



Day4:

vitumbua

Mchuzi wa keema

kachori, chutney

Tambi za nazi



Day5:

Ndizi mbichi za nyama

Sambusa

Uji wa kunde..



Day6:

Tende

Bajia za kihindi

Pilau, salad,ndizi,na pilipili yakukaanga,

Milk shake

Bembe au daku,chai na catles.



Day7:

Muhogo wa nazi kwa samakii

Bajia

ndizi mkono wa temboo za nazii

Juice ya castard



Day8

viazi vya nyama vya nazi

Mikate ya maji

Mchuzi wa mayai

katlesi

Juice ya nanasii



Day9:

Sambusa

shurba

viyazi vya nazi

mkate wa tambii



Day10:

Tambi za kukaangaa

Rosti la mainii

Mikate ya ajemi ns

Kuku choma

Egg chops



Day11:

Spring rolls

Chapati au wali na mchuzi wa kababu,

Faluda



Day12:

Tende

kaimati

Boga la kupaka kwa nazi

Ndizi mbichi za nazi kwa utumbo



Day13:

Bajia na tende.....

Mkate wa ufuta kwa mchuzi wa kababu,

Ndizi za kiume

Milkshake ya tende



Day14:

Tende,

Batata chops,

Chapoo na mchuzi wa keema,

Vibibi





Day15:

Tende

Sambusa

Mkate wa ufuta

Mchuzi wa nyama roast

Tambi brown za maziwa

Custard cake





Day16:

Tende

Viazi vya karai

Sima, Samaki Wa Kukaranga Na Mboga.

Matobosha Kwa Uji .

Desert Mix Fruit With Ice Cream.





Day17:

Tende na kahawa

Sambusa

Mahamri

Maharagwe ya nazi na

Nyama kavu

Fruit salad


Day18:

Tende

Spring rolls

kahawa

Chapati kwa viazi ya nazi ya nyama,

Tambi za kukahanga

Custard





Day19:

Tende

kahawa

sambusa



Macaroni ya tuna

Mikate ya ajemi

Nyegere za nazi

Tandoor chicken

Badia za kunde

kachori

Chutney

Tambi.

Fresh fruits

Juice ya bungo

Chai kavu





Day20:

Tende na kahawa

sambusa,

katlesi za tuna

Pilau ya nyama

Salad

Juice

Chocolate cake na ice cream





Day21:

Tende

Kaimati

Bajia za kunde

Mahambri

Mbaazi

Nyama kavu na

Ndizi mbichi

Dessert pudding

Fruit mango



Day22:

Tende

Kaimati

Ndizi mbichi

Njugu mawe

Chapati za maji

Pweza au ngisi wa kukaanga

Custard

Sharbati ya rozi



Day23:

Viazi karai

Tende

Pizza

Podini

Juice





Day24:

Sambusa

Bajia

Mahamri

Rojo la viazi

Tambi

Cake

kahawa




Day25:

Katlesi

Bajia za kihindi

Tende

Juice

Viazi va nazi

Homemade scones

Grilled chicken wings

Fruit salad





Day26:

Tende

Viazi va karai

Pizza

Tambi za brown.

Juice /chai




Day27:

Kachori

Tende

Juice

Chapati.

Rosti ya mainii.

Tambi za nazi.



Day28:

Tende

Sambusa

burger

Chips na kuku

Mkate wa mayai,maandaz

Juice ya matunda




Day29: By..

Tende

Kalimati

Mkate wa ufuta

Samaki wa kupaka

Wali wa nazi na njegere.



Day30:

Tende

Kababu,kachori ,chapat za maji

Viazi vitam,
magimbii,maboga ya nazi.

Fruit salad
Duh
 
Ramadhan Menu Plan
.

Day1:

Tende

Shurba

Chapati

Maharagwe ya nazi

Samaki wa kukaangaa


Day2:

Kaimati

viazi karai

Chapati na Mbaazi

Fruit Custard



Day3:

Bajia

Cutlets

Shurba

Chapati

Viazi vya Rojo

Nyama ya kukangaa



Day4:

vitumbua

Mchuzi wa keema

kachori, chutney

Tambi za nazi



Day5:

Ndizi mbichi za nyama

Sambusa

Uji wa kunde..



Day6:

Tende

Bajia za kihindi

Pilau, salad,ndizi,na pilipili yakukaanga,

Milk shake

Bembe au daku,chai na catles.



Day7:

Muhogo wa nazi kwa samakii

Bajia

ndizi mkono wa temboo za nazii

Juice ya castard



Day8

viazi vya nyama vya nazi

Mikate ya maji

Mchuzi wa mayai

katlesi

Juice ya nanasii



Day9:

Sambusa

shurba

viyazi vya nazi

mkate wa tambii



Day10:

Tambi za kukaangaa

Rosti la mainii

Mikate ya ajemi ns

Kuku choma

Egg chops



Day11:

Spring rolls

Chapati au wali na mchuzi wa kababu,

Faluda



Day12:

Tende

kaimati

Boga la kupaka kwa nazi

Ndizi mbichi za nazi kwa utumbo



Day13:

Bajia na tende.....

Mkate wa ufuta kwa mchuzi wa kababu,

Ndizi za kiume

Milkshake ya tende



Day14:

Tende,

Batata chops,

Chapoo na mchuzi wa keema,

Vibibi





Day15:

Tende

Sambusa

Mkate wa ufuta

Mchuzi wa nyama roast

Tambi brown za maziwa

Custard cake





Day16:

Tende

Viazi vya karai

Sima, Samaki Wa Kukaranga Na Mboga.

Matobosha Kwa Uji .

Desert Mix Fruit With Ice Cream.





Day17:

Tende na kahawa

Sambusa

Mahamri

Maharagwe ya nazi na

Nyama kavu

Fruit salad


Day18:

Tende

Spring rolls

kahawa

Chapati kwa viazi ya nazi ya nyama,

Tambi za kukahanga

Custard





Day19:

Tende

kahawa

sambusa



Macaroni ya tuna

Mikate ya ajemi

Nyegere za nazi

Tandoor chicken

Badia za kunde

kachori

Chutney

Tambi.

Fresh fruits

Juice ya bungo

Chai kavu





Day20:

Tende na kahawa

sambusa,

katlesi za tuna

Pilau ya nyama

Salad

Juice

Chocolate cake na ice cream





Day21:

Tende

Kaimati

Bajia za kunde

Mahambri

Mbaazi

Nyama kavu na

Ndizi mbichi

Dessert pudding

Fruit mango



Day22:

Tende

Kaimati

Ndizi mbichi

Njugu mawe

Chapati za maji

Pweza au ngisi wa kukaanga

Custard

Sharbati ya rozi



Day23:

Viazi karai

Tende

Pizza

Podini

Juice





Day24:

Sambusa

Bajia

Mahamri

Rojo la viazi

Tambi

Cake

kahawa




Day25:

Katlesi

Bajia za kihindi

Tende

Juice

Viazi va nazi

Homemade scones

Grilled chicken wings

Fruit salad





Day26:

Tende

Viazi va karai

Pizza

Tambi za brown.

Juice /chai




Day27:

Kachori

Tende

Juice

Chapati.

Rosti ya mainii.

Tambi za nazi.



Day28:

Tende

Sambusa

burger

Chips na kuku

Mkate wa mayai,maandaz

Juice ya matunda




Day29: By..

Tende

Kalimati

Mkate wa ufuta

Samaki wa kupaka

Wali wa nazi na njegere.



Day30:

Tende

Kababu,kachori ,chapat za maji

Viazi vitam,
magimbii,maboga ya nazi.

Fruit salad
Du apo mahali mtu atajisaidia kuna mtu ataweza kuruka kwl[emoji848]
 
Toa proof ya hili.. Unaelewa kushushwa kwa Q'uran? Jibreel aliileta as a message from the higher place.. Sio kitabu au gazette, goofy 🤣
Kalbi ndio alikuwa analeta Koran na Muhammad kakutwa nae chumbani mara nyingi
 
Kaka UNAZIDI kuniangusha Kila Leo.

mfano una mtoto Anaingia shule saa Moja ASUBUHI Hadi saa kumi na moja JIONI
Shule ikabadili RATIBA wakwanza kuingia Darasani saa moja JIONI hadi saa kumi na moja ASUBUHI

HAPP WAMEBADILI RATIBA AU WAMEFUNGA??????
 
Back
Top Bottom