LGE2024 Nawatakia wana JF wote uchaguzi wa amani, Kesho

LGE2024 Nawatakia wana JF wote uchaguzi wa amani, Kesho

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa wale wote tutakao shiriki uchaguzi muhimu mno na wa maana sana wa serikali za mitaa,

Nawatakia nyote matumizi sahihi uhuru na haki ya kikatiba, kwa kuchagua viongozi makini na watakao saidia kuchochea mageuzi na maendeleo katika mtaa au kijiji unachoishi.

Hongera kwa uchaguzi wa kidemokrasia na Asanti sana kwa kushiriki kampeni za kistaarabu. Piga kura na uende nyumbani kusubiri matokeo 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwa wale wote tutakao shiriki uchaguzi muhimu mno na wa maana sana wa serikali za mitaa,

Nawatakia nyote matumizi sahihi uhuru na haki ya kikatiba, kwa kuchagua viongozi makini na watakao saidia kuchochea mageuzi na maendeleo katika mtaa au kijiji unachoishi.

Hongera kwa uchaguzi wa kidemokrasia na Asanti sana kwa kushiriki kampeni za kistaarabu. Piga kura na uende nyumbani kusubiri matokeo 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Cc Erythrocyte
 
Hakuna uchaguzi na poleni kwa wale wakatao enda na kupoteza muda wao kupigwa na jua
Na kesho lazima kuna watu watalia,kuna watu wataishia mkononi mwa polisi hata uhai kupoteza pia

Ova
 
Hakuna uchaguzi na poleni kwa wale wakatao enda na kupoteza muda wao kupigwa na jua
Na kesho lazima kuna watu watalia,kuna watu wataishia mkononi mwa polisi hata uhai kupoteza pia

Ova
Gentleman,
Uchaguzi wa kesho utakua wa amani, huru na wa haki zaid ya Chaguzi zote ziliwahi kufanyika Tanzania tangu uhuru.

Ulinzi na usalama ni wa uhakika mno, na watakao thubutu kuleta fujo au kuvuruga uchaguzi huo, watadhibitiwa kwa virungu kwa haraka sana, na bila kuwachelewesha hata sekunde moja.

Piga kura yako na uende kusubiri matokeo nyumbani 🐒
 
Mmeandikisha mpaka wanafunzi halafu mnataka watu na akili zetu tukapige kura
Gentleman,
hiyo ni dhana potofu isiyo na athari zozote kisiasa au kisheria nchini, hususani kwenye zoezi la uchaguzi wa kesho.

Tafadhali usikose 🐒
 
Chagua CCM kama una hakika kwamba akili yako ina shida
Gentleman,
kwa faida ya wadau elezea vizur kwa kina kifup kidogo gentleman,

kumbuka, uchaguzi wa serikali za mitaa ni kesho

usipange kukosa 🐒
 
Back
Top Bottom