Nawatapeli sana wanawake!

Nawatapeli sana wanawake!

Kama hamna hela mtuliage tu kuliko kupata dhambi mbili mbili
Hivi kijana Mdogo inakuwaje unanunuwa msichana?

Mnashindwa kuongea nao? Sijawahi kununuwa msichana nilipokuwa mvulana, mnapiga swaga anayezielewa anakupa mambo mkitoka hapo kila mtu shida zake anapeleka kwao kwa baba yake.

Shida imekuja baada ya vijana kuanza kujipachika majukumu ya Wazazi, halafu kichekesho ule muda wao halali wa majukumu ukifika wanakimbia majukumu, ni vichekesho vitupu.
 
Kwanza zinaa haina ujanja ukifuzu ujanja inakupeleka kaburini

Halafu pili inaoneka hujui chochote kuhusu hao wanawake wanaojiuza umeamua tu kuleta chai, huyo mwanamke unae kubaliana nae umpe 100k alafu asubuhi unamnunulia supu na kumpa buku 5 na akakuachia uondoke ni demu wako wa kila siku au ni Hawa malaya tunaowajua kwenye jamii?
Naona unaota nenda kawajaribu na hiyo mbinu uone kitakacho kukuta.
 
Kwanza zinaa haina ujanja ukifuzu ujanja inakupeleka kaburini

Alaf pili inaoneka hujui chochote kuhusu hao wanawake wanaojiuza umeamua tu kuleta chai, huyo mwanamke unae kubaliana nae umpe 100k alafu asubuhi unamnunulia supu na kumpa buku 5 na akakuachia uondoke ni demu wako wa kila siku au ni Hawa malaya tunaowajua kwenye jamii?
Naona unaota nenda kawajaribu na hiyo mbinu uone kitakacho kukuta.
Aende pale sinza ambiance,anunue alafu afanye hivyo,Kitakachompata alete Tena uzi
 
Kwanza zinaa haina ujanja ukifuzu ujanja inakupeleka kaburini

Alaf pili inaoneka hujui chochote kuhusu hao wanawake wanaojiuza umeamua tu kuleta chai, huyo mwanamke unae mnunulia supu na kumpa buku 5 ni demu wako wa kila siku au ni Hawa malaya tunaowajua kwenye jamii?
Naona unaota nenda kawajaribu na hiyo mbinu uone kitakacho kukuta.
Kuna mwamba ndoa yake imevunjika, aliingia na demu guest karibu na nyumbani kwake, baada ya kumpanda demu akataka kumsepa bila kumpa pesa, alimjazia watu.

Mbaya zaidi umbea ukafika mpaka nyumbani kwake na mashemeji zake wana mawe, jamaa kanyang'anywa mke yupo kwao Moshi analinda mji na mahitaji yote ya Ki pesa anapata kwa kaka zake, hili nimeliona kwa macho yangu.
 
Kwanza zinaa haina ujanja ukifuzu ujanja inakupeleka kaburini

Alaf pili inaoneka hujui chochote kuhusu hao wanawake wanaojiuza umeamua tu kuleta chai, huyo mwanamke unae kubaliana nae umpe 100k alafu asubuhi unamnunulia supu na kumpa buku 5 na akakuachia uondoke ni demu wako wa kila siku au ni Hawa malaya tunaowajua kwenye jamii?
Naona unaota nenda kawajaribu na hiyo mbinu uone kitakacho kukuta.
Malaya hana cha kupoteza wale wanakuua hivihivi unajiona

Na kweli akajaribu malaya wanaojua kazi yao kama hawajamjazia watu aibike

Malaya mzoefu uumlipe hela mkishatoka nje 🤔😅 sijawahi ona
 
Kuna mwamba ndoa yake imevunjika, aliingia na demu guest karibu na nyumbani kwake, baada ya kumpanda demu akataka kumsepa bila kumpa pesa, alimjazia watu.

Mbaya zaidi umbea ukafika mpaka nyumbani kwake na mashemeji zake wana mawe, jamaa kanyang'anywa mke yupo kwao Moshi analinda mji na mahitaji yote ya Ki pesa anapata kwa kaka zake, hili nimeliona kwa macho yangu.
Wale hawafai tena hiyo buku 5 ni bora usimpe ukimpa ndo unaamsha kichaa chake utajikuta kwenye vichwa vya magazeti jamaa hawajui
 
Malaya hana cha kupoteza wale wanakuua hivihivi unajiona

Na kweli akajaribu malaya wanaojua kazi yao kama hawajamjazia watu aibike

Malaya mzoefu uumlipe hela mkishatoka nje 🤔😅 sijawahi ona
Hao wazoefu Tena siku hawataki usumbufu wa kuja sumbua badae,wanakuambia changu mkononi ,mguu ukutani
 
Hao wazoefu Tena siku hawataki usumbufu wa kuja sumbua badae,wanakuambia changu mkononi ,mguu ukutani
Hao ndo malaya sasa wenye kuijua kazi yao.

Ogopa sana malaya wenye kazi zao

Kuna hao hata kama uliingia naye chumba cha maangamizi ukahairisha kumla haujasaula hata nguo zako lazima umlipe pesa yake mkazie uone shoo yake
 
Kwanza zinaa haina ujanja ukifuzu ujanja inakupeleka kaburini

Halafu pili inaoneka hujui chochote kuhusu hao wanawake wanaojiuza umeamua tu kuleta chai, huyo mwanamke unae kubaliana nae umpe 100k alafu asubuhi unamnunulia supu na kumpa buku 5 na akakuachia uondoke ni demu wako wa kila siku au ni Hawa malaya tunaowajua kwenye jamii?
Naona unaota nenda kawajaribu na hiyo mbinu uone kitakacho kukuta.
Wale serious ambao ni pisi kwelikweli akifika mpe chake ndio mengine yaendelee. Sijajua mleta bado labda wake anawatoa watoto wa kiswahili Tandale huko
 
💯🤝

Na kama anafikiria kutumia mbinu hiyo ashauriwe asijaribu.

Mi kuna malaya alishawahi kunidhulumu chenji nilivyoona kaanza kupandisha sauti anijazie watu kwamba hatudaiani nikamwachia ili nitunze heshima yangu nikasepa
Hahahaha mkuu utakuwa uliiswaga sana mpaka akaona hili dau nilomtajia dogo
 
Wale serious ambao ni pisi kwelikweli akifika mpe chake ndio mengine yaendelee. Sijajua mleta bado labda wake anawatoa watoto wa kiswahili Tandale huko
hata hawa malaya wa 10k au 20k pesa kwanza unamlipa inawekwa kweye bra au kipochi chake cha pesa ndo anakuchanulia mapaja
 
Back
Top Bottom