Nawatazama hawa Wanawake waliofanikiwa kimaisha Clouds Tv, ila Shuhuda zao za Mafanikio hazinishawishi

Nawatazama hawa Wanawake waliofanikiwa kimaisha Clouds Tv, ila Shuhuda zao za Mafanikio hazinishawishi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila anayehojiwa na Mtangazaji ' Critical ' na ninayempenda na kumkubali kabisa Siza wa Cloudstv 360 on Saturday wakiwa ' mubashara ' kabisa kutokea Mlimani City kuwa aelezee Historia ya Mafanikio yake hadi leo wamefanikiwa Kimaisha unaona tu wanazunguka zunguka huku mengi tukifichwa.

Nikilitumia sana ' jicho ' langu Kali la ' Kisaikolojia ' na kwa jinsi ninavyowakodolea hawa Wanawake wakiwa ' mubashara ' wanatiririka na wanaserereka naona Shuhuda zao za Kimafanikio hayo waliyonayo zimejaa ' Unafiki ' mtupu hasa kwa wawili mmoja wapo akiwa anapatikana sana Millenium Tower Kijitonyama na mwingine akiwa mara kwa mara humkosi katika Vipindi vyake Channel Ten ambao ' Channels ' zao za hayo mafanikio yao zina mkono wa ' Kimahaba ' wa waliokuwa na Mamlaka yao / wenye Nyadhifa zao hapa Tanzania.

Wito tu Kwenu ambao huwa mnapenda ' Kutudanganya ' kuhusu mlivyopata hayo mafanikio yenu itapendeza sana na hata kutushawishi zaidi kama siyo kutufundisha endapo mtakuwa mnatupa zile Shuhuda zenu halisi hata kama zinatisha au kutia aibu kuliko kudhani kuwa huu uwongo wenu hatutaugundua haraka.

Ngoja niendelee kuwaangalia na nizidi Kudanganyika. Kazi ipo hakyanani!

Nawasilisha.





Wengi wao ni watu wa kamba sana

Msome huyu

"Wasichana au wakina mama tunaweza kununua madira ya elfu 13,000 au Lipstick ya elfu 3,000 lakini tukashindwa kununua unga wa maandazi wa elfu 10,000, wasichana wengi wanaonea aibu biashara zao wakihofoa watachukuliwa na jamiii, Mimi mpaka kufika hapa nilianzia na mtaji wa elfu 20,000 tu lakini kwasasa nimekuwa chanzo cha ajira nyingi za watu" Selina Letara [HASHTAG]#MalkiaWaNguvu[/HASHTAG] wa mwaka jana ambaye ni Mmiliki wa kampuni ya uzalishaji na usambazaji wa Hc Pads Tanzania

mwingine huyu hapa anaseama

"Mimi nilianza na mtaji wa laki moja (100,000) ambayo hiyo ukijumlisha na nauli ya kwenda na kurudi kariakoo ambapo nilikuwa nauza nguo za ndani kwa wanafunzi wenzangu chuoni, lakini kwasasa nina duka la nguo za kiume (Nguo za dukani) na Duka la nguo za kike (Nguo za Mtumba), Nauza kisamvu kwenye supermarkets, Popcorns na Spaghetti (Tambi)" Latifa Mohamed

mwingine huyu hapa

Bado kuna watu wengi ambao wanasoma Udaktari lakini mawazo yao yapo kwenye kuajiriwa wakimaliza masomo yao badala ya kuwaza ni kitu gani inabidi akifanya ili kusaidia jamii yake kwa kutumia elimu yake, Kuna watu wengi ambao ukiwapelekea mawazo yako wao wanayabeba na kufanyika kazi wao na hii isiwakatishe tamaa kwani wewe ndiyo unajua lengo la wazo lako ambalo ungetamani ulifanye na ulikuwa unalitazama kwa ukubwa ule" Juliana Busasu [HASHTAG]#MalkiaWaNguvu[/HASHTAG] 2017 ambaye ni mwanafunzi wa Udaktari mwaka wa tano na ni Mkurugenzi wa
Tanzania Health and Medical Education Foundation (TAHMEF)

mwingine huyu hapa

Mimi wakati nataka kuanza biashara yangu ya [HASHTAG]#Manjano[/HASHTAG] watu wengi walinikatisha tamaa lakini kwasababu nilijua nataka nini sikukubali kukatisha wazo langu, hata wakati nilipotaka kufungua Chuo cha urembo nilimfata 'Mental wangu' (Mshauri) na kumueleza wazo langu na alinishauri nifunge baadhi ya maduka yangu japo ilinitisha lakini nilifunga ili niweze kufungua chuo na kweli kwasasa nina chuo cha urembo na biashara zangu zinaenda vizuri" Shekha Nasser
 
Mkuu uwezi amini nilitaka kuanzisha mada kama hii ya hii dhana ya uongo au kuwadanganya watu kuwa kila aliyefanikiwa alianza na mtaji mdogo hasa kwa wana wake.....ngoja nikuletee nyama kidogo uweke hapo juu ...naleta nukuu zao
 
Hapo nakuunga mkono bwana Gentamycine kwa hili, hayo mafanikio yao yamejawa na 'fake stories of inspiration'

Halafu wanavyojitahidi kutudanganya wanadhani Watu wote tunaowaangalia ni ' Wapuuzi ' huku wakisahau kuwa kuna wengine wapo hapo ' Upuuzi ' wao wa kuharibu na kuingilia ' Ndoa ' za Watu ili tu nao waweze ' Kuwachuna ' na ' Kuwatumia ' hao Wanaume wenye Mamlaka na Nyadhifa unajulikana na Sisi Watoto wa Mjini. Wanadhani wametuweza lakini kumbe ndiyo tumezidi kuwadharau tu! Kweli jamani kuna Watu mishipa yao ya aibu imekatika kabisa hapa duniani. Yaani unajitutumua kabisa kutoa ' Shuhuda ' katika Television wakati moyoni mwako unajua kabisa kuwa umewezeshwa ' Kibaiolojia ' tena na Waume za Watu hata aibu huna!
 
Wengi wao ni watu wa kamba sana

Msome huyu

"Wasichana au wakina mama tunaweza kununua madira ya elfu 13,000 au Lipstick ya elfu 3,000 lakini tukashindwa kununua unga wa maandazi wa elfu 10,000, wasichana wengi wanaonea aibu biashara zao wakihofoa watachukuliwa na jamiii, Mimi mpaka kufika hapa nilianzia na mtaji wa elfu 20,000 tu lakini kwasasa nimekuwa chanzo cha ajira nyingi za watu" Selina Letara [HASHTAG]#MalkiaWaNguvu[/HASHTAG] wa mwaka jana ambaye ni Mmiliki wa kampuni ya uzalishaji na usambazaji wa Hc Pads Tanzania

mwingine huyu hapa anaseama

"Mimi nilianza na mtaji wa laki moja (100,000) ambayo hiyo ukijumlisha na nauli ya kwenda na kurudi kariakoo ambapo nilikuwa nauza nguo za ndani kwa wanafunzi wenzangu chuoni, lakini kwasasa nina duka la nguo za kiume (Nguo za dukani) na Duka la nguo za kike (Nguo za Mtumba), Nauza kisamvu kwenye supermarkets, Popcorns na Spaghetti (Tambi)" Latifa Mohamed

mwingine huyu hapa

Bado kuna watu wengi ambao wanasoma Udaktari lakini mawazo yao yapo kwenye kuajiriwa wakimaliza masomo yao badala ya kuwaza ni kitu gani inabidi akifanya ili kusaidia jamii yake kwa kutumia elimu yake, Kuna watu wengi ambao ukiwapelekea mawazo yako wao wanayabeba na kufanyika kazi wao na hii isiwakatishe tamaa kwani wewe ndiyo unajua lengo la wazo lako ambalo ungetamani ulifanye na ulikuwa unalitazama kwa ukubwa ule" Juliana Busasu [HASHTAG]#MalkiaWaNguvu[/HASHTAG] 2017 ambaye ni mwanafunzi wa Udaktari mwaka wa tano na ni Mkurugenzi wa
Tanzania Health and Medical Education Foundation (TAHMEF)

mwingine huyu hapa

Mimi wakati nataka kuanza biashara yangu ya [HASHTAG]#Manjano[/HASHTAG] watu wengi walinikatisha tamaa lakini kwasababu nilijua nataka nini sikukubali kukatisha wazo langu, hata wakati nilipotaka kufungua Chuo cha urembo nilimfata 'Mental wangu' (Mshauri) na kumueleza wazo langu na alinishauri nifunge baadhi ya maduka yangu japo ilinitisha lakini nilifunga ili niweze kufungua chuo na kweli kwasasa nina chuo cha urembo na biashara zangu zinaenda vizuri" Shekha Nasser
 
Ruttashobolwa, ]#Manjano[/HASHTAG] watu wengi walinikatisha tamaa lakini kwasababu nilijua nataka nini sikukubali kukatisha wazo langu, hata wakati nilipotaka kufungua Chuo cha urembo nilimfata 'Mental wangu' (Mshauri) na kumueleza wazo langu na alinishauri nifunge baadhi ya maduka yangu japo ilinitisha lakini nilifunga ili niweze kufungua chuo na kweli kwasasa nina chuo cha urembo na biashara zangu zinaenda vizuri" Shekha Nasser[/QUOTE]
Unaweza kukuta na K Lyn na yeye anasema alianza na mtaji wa elfu 30
 
Rafiki yako siza ndio muandishi wa hz script na director ni rg ,so endelea kuangali ubora wa mtunzi

Kama alikuchukulia Mke / Demu au upo nae hapo Ofisini CMG na unaona anakubalika sana na unamchukia hayo ni mambo yenu ambayo hayanihusu na siyahitaji. Kwani hii ni post yako ya pili unamshambulia na kumsanifu. Kwa kukusaidia tu ukiona hadi GENTAMYCINE namkubali ama Mtangazaji au Mwandishi fulani jua kuwa nimempima kwa Vigezo vyangu vyote na yupo vizuri. Watangazaji wa Luninga ( Television ) ambao nawakubali kwa kuwa na IQ nzuri na kubwa ninayoitaka halafu wako ' very critical ' kwa Tanzania ya sasa wapo wawili tu huyu Mtani wangu wa Kihaya Siza wa CMG ( Clouds tv na Clouds fm na Aloyce Nyanda wa SAHARA Media ( Startv na RFA )

Kazi Kwako.
 
sidhani kama kuna mtu anaweza kueleza 100% amefanikiwaje

Ukijiamini unaweza acha kutaka ' Kutupotosha ' hapa Mkuu. Nenda Kanisani uone Watu wanavyotoa ' Shuhuda ' zao za kutisha kabisa mbele ya Watu na kwa Mungu kisha wanakuwa watumishi wazuri tu na mfano wa kuigwa. Kisaikolojia tu ukiona Mtu hataki kusema 100% ya mafanikio yake jua kuna 99.9% ya Uongo, Unafiki na Kutojiamini ndani yake.
 
Back
Top Bottom