GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2]Unaweza kukuta na K Lyn na yeye anasema alianza na mtaji wa elfu 30
Wanawake wengi ni waongo....wakisha achana na watu wao utasikia biashara yangu nilianza na mtaji wa tsh 3500/=Mimi kuna mdada mmoja tumesoma nae kuna siku nilisikia anahojiwa akaleta story yake alivyoanza biashara nikacheka sana...tunaomfahamu tunajua mtaji kapewa na mchepuko wake ambae ni mmoja wa viongozi wa TPSF
Kuna mmoja mwingine ni mtangazaji ana wadanganya kila leo watu kuwa kwa mshahara mdogo alio nao analima vitunguu uko morogoro tena heka kumi kumbe shamba ni la jamaa yake ana fanya kazi bank tena analima kwa mkopo...Waongo waongo waongo kuna mmoja Dada wa mjini alikua punda haswaa sa hivi akikusimulia utaliaa
Watanzania uongo uko kwenye damu....kanisani pia nakukatalia, huwa nastaajabu shuhuda za kwa mzee wa upaka, mwanamke anasema, "mwaka jana sikua na gari, baada ya kuanza kuja kanisani na kupata upako, sa ivi nina gari langu, lipo hapo nje"
Sasa unajiuliza kwanini huwa hawaelezee walifanyaje, hupati jibu.
Hivi ni Mentor au ni Mental???
hahaaaUnaweza kukuta na K Lyn na yeye anasema alianza na mtaji wa elfu 30
Mkuu mengine haya tamkiki. .sasa wafanyaje? [emoji144]kwanini wanaongopa.....?
Unaweza kuthibitisha hili ?Mwanamke gani kafanikiwa bila mkono wa mwanaume?Mimi ndio siwasikilizagi kabisa.wale wanawezeshwa.baada ya hapo wanavua pichu
Swali lako linaashiria kutaka kubishana.%97 wanawezeshwa.asilimia iliyobaki ndio hao unaotaka kuleta ubishi.Unaweza kuthibitisha hili ?
Mimi naona hii ni dhana potofu juu ya watoto wa kike. Naamini wapo ambao wanaweza kupambana bila kupigwa mashine.Swali lako linaashiria kutaka kubishana.%97 wanawezeshwa.asilimia iliyobaki ndio hao unaotaka kuleta ubishi.
Big point bro.Mimi naona hii ni dhana potofu juu ya watoto wa kike. Naamini wapo ambao wanaweza kupambana bila kupigwa mashine.
Ongezea nyama nyama hapoBig point bro.
inabidi waongope ....Mkuu mengine haya tamkiki. .sasa wafanyaje? [emoji144]
Tena anasema kajibana kwelii.Unaweza kukuta na K Lyn na yeye anasema alianza na mtaji wa elfu 30
AhhhahhTena anasema kajibana kwelii.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Usahihi ni mentor lakini kwa tafsiri sahihi aliyotaka kusema bora angetumia kiswahili tu angeeleweka vyema kulikokachumbali halafu inawekwa sukari badala ya chumvi.Hivi ni Mentor au ni Mental???