mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Je angepewa 100% ungesemaje?! Tatizo wabongo kama kitu hatukiungi mkono tunajitahidi kutumia nguvu kubwa kubadili maana badala ya kutoa hoja za msingi. Hata hivyo hizi kelele hazina maana sasa hivi. Tufanye kazi.Duh!
Tuambie nini kimefanyika?
50% ni yanini sasa ?