Nawauliza wana Simba wenzangu, Mohamed Dewji aliwahi kufanikisha lipi kwenye soka?

Nawauliza wana Simba wenzangu, Mohamed Dewji aliwahi kufanikisha lipi kwenye soka?

Duh!
Tuambie nini kimefanyika?
50% ni yanini sasa ?
Je angepewa 100% ungesemaje?! Tatizo wabongo kama kitu hatukiungi mkono tunajitahidi kutumia nguvu kubwa kubadili maana badala ya kutoa hoja za msingi. Hata hivyo hizi kelele hazina maana sasa hivi. Tufanye kazi.
 
Je angepewa 100% ungesemaje?! Tatizo wabongo kama kitu hatukiungi mkono tunajitahidi kutumia nguvu kubwa kubadili maana badala ya kutoa hoja za msingi. Hata hivyo hizi kelele hazina maana sasa hivi. Tufanye kazi.

kajifunze tena nini maana ya hisa mkuu, Unapokuw ana share kubw akuliko wenzio basi wew endio mmiliki hao wengine wanakusindikiza,
hivi unafikiri kwanini Mwakyembe alisema apewe 49% na sio 50%, ila simba wao wakampa 50% ?
 
Timu inaongoza ligi kocha anatimuliwa , kisa Mtoa hela kaamua !

Hakika Tajiri na mali yake , Masikini na wanawe .
 
YUSUPH SAID SALIM BAKHERESSA ndio alitakiwa akabidhiwe hii team seme yeye anamchango mkubwa kwa SIMBA kuliko MO
Sema Mo anabebwa na HISTORIA YA FAMILIAR YAKE
YUSUPH hapendi kujionyesha na sio mtu wa MEDIA ila
SIMBA KINDAKINDAKI wanalijua hili
 
Huyu
Tumeitoa timu ya Misri ikiwa bingwa 2003 au wewe unaongelea nini?hafu acha unafiki ww sio simba,ujinga wako peleka kwenu
Huyu ni mwanasimba kindakindaki, asiemjua ndiyo anayehoji, Ila sisi tunaomujua wala hatuna mashaka n'a hoja zake.
 
Ubingwa Simba wa kuchonga umedumu kwa takribani miezi minne tu, hili linadhihirisha pasi n'a shaka Kuwa Simba aliupora ushindi wa FA, kama mnabisha ngoja aende huko nje tuone kama atavuka Hata round y'a pili.
 
Tatizo we ni ukawa,roho ya kupinga kila kitu bado ibakusumbua. Iko siku utapinga mpaka jina lako

Tatizo wewe ni mla rambirambi kila kitu unakubali hutaki hata kuweka angalizo kwani mbagala market , singida united alichowafanyia lazima angalizo liwepo
 
Mkuu hakuna hoja ya kujibu hapo, mo ni mfanyabiashara kaja simba kufanya biashara na anawaeleza wazi kuwa timu itafaidika vipi na yeye atafaidika vipi mambo ya kutoa pesa za bure sasahivi hakuna, acha mambo yaendeshwe kisasa mkuu

Kwani Africa lyon biashara ilikuwa hamna au ni utapeli tu unaongea hapa lazima kuwe na angalizo maana kote huko alikochukua timu aliziachia majanga
 
Hukubali wewe na nani kwani kwenye mkataba kuna kipengele kinachosema asimuuzie mtu mwingine mali yake!
Ajaribu aone , malengo ya kumpa simba hayakuwa ya kuifanyia biashara , yalikuwa ya kuiendeleza tu baaaasi !
 
Back
Top Bottom