Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

Bila ayo masharti huwezi kupata faida. Au wewe unategemea kampuni yako isipate faida?..

Masharti ndio faida
Nakuelewa lakini pia nakupinga,masharti sio lazima yawe kama Yao mi naweza kutumia njia mbadala kujipatia faida yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…