Nawaza nimekosea wapi au ni laana! Napitia msongo wa mawazo

Nawaza nimekosea wapi au ni laana! Napitia msongo wa mawazo

jangos

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2023
Posts
208
Reaction score
231
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini ntaelezea kama ilivyo
Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yani msongo wa mawazo
Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi... Nimechoka kuishi na kujiua siwezi mana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwai kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive.nahitaji ushauri[emoji120]
Una miaka 20 unawaza kua na demu, how much do you save a week?........
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini ntaelezea kama ilivyo
Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yani msongo wa mawazo
Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi... Nimechoka kuishi na kujiua siwezi mana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwai kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive.nahitaji ushauri🙏
Na bado, hiyo hali unayo pitia huo ni mwanzo.. jifunge mkanda vizuri ndege yajiandaa kupaaa
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini ntaelezea kama ilivyo
Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yani msongo wa mawazo
Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi... Nimechoka kuishi na kujiua siwezi mana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwai kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive.nahitaji ushauri🙏
Pole sana mzee tafuta hela watakuja wenyewe tu👊
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini ntaelezea kama ilivyo
Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yani msongo wa mawazo
Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi... Nimechoka kuishi na kujiua siwezi mana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwai kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive.nahitaji ushauri🙏
Soma kwanza acha haraka...
Wewe unakula ugali wa shikamoo bado hata haujui bei ya sabuni...

Pia inafaa ujue ukibaka umefikisha umri wa kutosha kupigwa miaka 30 jela
 
Cha kwanza acha utoto. Yani wewe una mawazo ya 17yrs old.

Cha pili dont demand anything in this world, usitegemee utatongozwa na demu.

Cha tatu hakuna dawa ya depression, ila kuna njia za kujinasua, madirisha mazingira, nenda beach, jichanganye na wewe uchekee sana na uongee sana.

Cha nne badilisha mtazamo kwako kwa jins unavyojiona, hakuna ambae ataekuja kukupa pumziko la maisha,

Cha tano, yani una 20s alafu unawza mambo ya watoto., fanya kazi wee pimbi acha usengeee
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini ntaelezea kama ilivyo
Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yani msongo wa mawazo
Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi... Nimechoka kuishi na kujiua siwezi mana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwai kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive.nahitaji ushauri[emoji120]
Miaka 20 ni umri wa kuwekeza kwenye mali za kudumu, nyumba, viwanja, mashamba huku ukipigania suala la afya njema ya mwili na akili.

Cha ajabu wewe unavivuruga ukishafika 37 je??
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini ntaelezea kama ilivyo
Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yani msongo wa mawazo
Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi... Nimechoka kuishi na kujiua siwezi mana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwai kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive.nahitaji ushauri🙏
Kufa ni rahisi sana, ila maisha ni matamu sana...imagine hata Reginald Mengi angenipa utajiri wake wote halafu tubadilishane umri...hapana ni bora nife maskini tu, living my life
 
"Sina mtoto na sijui kama ntakua nae mana Amna dem anantaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living..."


Kwa miaka 20 upaswi ata kuwaza demu, wenzako tulikuwa tunafanya mashindano ya kupiga bao nyingi za nyeto tukienda kuoga mtoni umri huo, mixer na viazi vitamu vya wizi atukuwahi kujua kitu inaitwa msongo!
 
Back
Top Bottom