Nawaza sana Uzee wangu utakuwa wa namna gani

Nawaza sana Uzee wangu utakuwa wa namna gani

Iwapo nitakuwa hai nata ninvyofika uzeeni niwe nimezifikia level za juu za uchawi
 
Basi una tatizo mahali katika saikolojia yako!

Ungelijua thamani aipatayo mzee anayejaliwa maisha marefu kuliko mtu anayekufa kijana wala usingelithubutu kuandika mawazo yako hayo.

Watu wengi wanadanja chini ya umri wa 60 wakiwa katika harakati za ku sattle maisha yao kabla hawajajiandaa kiroho.

Sasa wewe mfano Mungu akupe 70, 80 huko hujajiandaaga tu na safari isiyo isiyo na mwisho?

Kukaa mpaka ukauona uzee wako kwenye dunia hii iliyojaa changamoto lukuki za kimaisha ni zawadi na thawabu.

Hayo ya kusema makunyazi, magonjwa hayajawa sababu ya kuuchukia uzee kwa sababu kwani ni vijana wangapi wanaoishi kwa afya zenye migogoro bila kuonja wala kufurahia maisha yao?

Omba Mungu akuhifadhi na uishi kwa heri kadri alivyokupangia.

Jiwekee kinga za kiuchumi kukufanya uishi maisha yenye staha mpaka mwisho wa maisha ya duniani na siyo lazima utajirike.

Maneno huumba, nakushauri tengua kauli yako hii ya kufuru.

Mungu asije kukuchukua kibabe ghafla hata mabarabarani huko ukaacha wanao bila maandalizi yoyote.
Ameeeeeen🙏
 
Sisi ambao tayari tupo na 50 tushaanza kuona madhara ya uzee. Totoz kali zinapita mbele yako inakutwanga shikamoo inapita inakutikisia. Dah unaangalia kwa macho tu.
 
Wekeza vitu ambavyo vitakuingizia hela ukizeeka, mm nimechagua real estate. Naje ga mdogo mdogo angalau niwe na nyumba 10 nikifikishaa miaka 50 ama 55
 
Back
Top Bottom