Nawaza; Sijawahi kubahatika kusikia au kuona msiba wa Albino

Nawaza; Sijawahi kubahatika kusikia au kuona msiba wa Albino

Wale waliokuwa wanauawa na wagombea wa chama chetu ili kuwini uchaguzi je hukushuhudia misiba yao!
 
Wasssalaaaaaaam wazeeee!!!!

Katika maisha yangu yote mpaka nimefika umri huu sijawahi kubahatika kusikia au kuona msiba ambao aliefariki ni albino.

Kuna maalbino kadhaa mitaani nimeishi nao, nimefanya nao kazi , mpaka wengine nimesoma nao kabisa lakini unakuta gafla tu bin vuu mchizi haonekani.

Na ukiuliza kwa wadau na wenyewe unakuta ni kama wewe ndo umewasanua hivi… wanaanza kugeukiana… aiseee kweli hivi yule jamaa aliendaga wapi? Unasikua tu aaah nilisikia yuko kwa shangazi yake mara sijui huku mara huku mwisho wa siku Inabaki hakuna mwenye jibu hapo.

Nikaona ngoja nishirikishe kuwauliza watu kadhaa kwamba ebwanaee hivi umeshawahi kusikia albino kafariki? Au nyumba ile kuna msiba na aliekufa ni albino? Kila mtu inakuwa kama ndo nimemsanua vile vile naye anasema aisee kweli bwana sijawahi kuona hata mara moja wala kujua ni nini kinatokea, tena ninaowauliza wengine ni wakubwa kabisa hata kwangu ila wanasema hawajawahi kuona kitu kama hicho.

Kuna kuna mzee mmoja pia niliwahi kumuuliza… yeye akajaribu kuniambia kuwa hawa viumbe huwa wanapoteaga kimazingara ndiyo maana unakuta ghafla tu mtu haonekani, na hakuna yeyote mwenye taarifa kamili kumhusu.

Kingine pia sijawahi kuona albino mzee yaani kazeeka ule umri wa kuitwa babu. Inamaana hawa viumbe hawazeeki??

Eti wazee je nyie mmewahi kuyashuhudia haya katika jamii zenu au ni mimi tu ndiyo naishi katika dunia ya peke yangu mpaka kupelekea kutukuyaona yote hayo?

Ama kweli dunia ina mambo.
Subiri manara akizeeka
 
Mimi sijawahi kuona msiba wa maasai
 
Wanakufa kama binadamu wengine . Yupo Ustaadhi mmoja alikuwa mwalimu wa madrasa mabatini Mwanza alifariki na kuzikwa makaburi ya waislamu Mlango Mmoja ,huyu albino nilikuwa namfahamu vizuri hadi kwao.Hayo mambo ya kupotea ni story za vijiweni tu
 
Kutoka na imani potofu kuhusiana na utajiri unaopatikana kwenye viungo vya Albino, basi misiba yao hufanywa siri na uzikwa kwa kificho. Lengo ni kuepukana na mwili au viongo kufukuliwa na watu wenye nia ovu.

Taarifa hii niliipata Bukombe mkoani Geita.

Upo sahihi!
 
Wasssalaaaaaaam wazeeee!!!!

Katika maisha yangu yote mpaka nimefika umri huu sijawahi kubahatika kusikia au kuona msiba ambao aliefariki ni albino.

Kuna maalbino kadhaa mitaani nimeishi nao, nimefanya nao kazi , mpaka wengine nimesoma nao kabisa lakini unakuta gafla tu bin vuu mchizi haonekani.

Na ukiuliza kwa wadau na wenyewe unakuta ni kama wewe ndo umewasanua hivi… wanaanza kugeukiana… aiseee kweli hivi yule jamaa aliendaga wapi? Unasikua tu aaah nilisikia yuko kwa shangazi yake mara sijui huku mara huku mwisho wa siku Inabaki hakuna mwenye jibu hapo.

Nikaona ngoja nishirikishe kuwauliza watu kadhaa kwamba ebwanaee hivi umeshawahi kusikia albino kafariki? Au nyumba ile kuna msiba na aliekufa ni albino? Kila mtu inakuwa kama ndo nimemsanua vile vile naye anasema aisee kweli bwana sijawahi kuona hata mara moja wala kujua ni nini kinatokea, tena ninaowauliza wengine ni wakubwa kabisa hata kwangu ila wanasema hawajawahi kuona kitu kama hicho.

Kuna kuna mzee mmoja pia niliwahi kumuuliza… yeye akajaribu kuniambia kuwa hawa viumbe huwa wanapoteaga kimazingara ndiyo maana unakuta ghafla tu mtu haonekani, na hakuna yeyote mwenye taarifa kamili kumhusu.

Kingine pia sijawahi kuona albino mzee yaani kazeeka ule umri wa kuitwa babu. Inamaana hawa viumbe hawazeeki??

Eti wazee je nyie mmewahi kuyashuhudia haya katika jamii zenu au ni mimi tu ndiyo naishi katika dunia ya peke yangu mpaka kupelekea kutukuyaona yote hayo?

Ama kweli dunia ina mambo.
Uongo mkuu, ila wanakufa kama wewe unavyokufa na wanazikwa vizuri tu…

Kama hujabahatika ni wewe, acha upotoshaji
 
Hapo kwenye kuzeeka wapo nishawahi waona ila kwenye kufa hakika hata mimi sijawahi sikia ni kama vile wamasai kama kuna ambaye ameshawahi kuhudhulia msiba wa mmasai kafa atujuze
 
Uongo mkuu, ila wanakufa kama wewe unavyokufa na wanazikwa vizuri tu…

Kama hujabahatika ni wewe, acha upotoshaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eet wanakufa kama wewe unavyokufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo jamaa huwa anakufaga na kurudi?
 
Itakuwa kupotea ndo kuibwa na watu wenye nia mbovu, sio kupotea kama kupigwa na Anti-matter bomb
Kuhusu visa vya kuuliwa tumeanza kusikia ckuizi baada ya digitari na kuongezeka kwa watu na mapori kupungua
Ko uko kupotea kulikuwa kunasababishwa na watu wenye nia ovu
 
Halafu tambua kua Abino sio kwa Binadamu tu,hata kwa Wanyama wapo Albino pia.
Ila hapa ameandika kuhusu, albino Binadamu, jibu ni kudhinitisha kuwa umehudhuria mazishi ya albino, uliekua unamjua, ama alikuepo albino uliekua unamjua alikufa na kuzimwa kwenye makaburi fulani.
 
Kutoka na imani potofu kuhusiana na utajiri unaopatikana kwenye viungo vya Albino, basi misiba yao hufanywa siri na uzikwa kwa kificho. Lengo ni kuepukana na mwili au viongo kufukuliwa na watu wenye nia ovu.

Taarifa hii niliipata Bukombe mkoani Geita.
Haya mambo ya viongo vya albino, kuwa nini, yameibuka miaka ya 2000 kabla haikuwepo, na Albino walikuwepo.
 
Na akifa akizikwa usiku watu wanaenda kufukua kaburi.
 
Wanakufa kama wengine wananavyokufa ...nimehudhuria msiba wa albino alikuwa mwalimu tukazika ....lakini kesho yake kaburi likafukuliwa watu wakaondoka na viungo vyake
 
Back
Top Bottom