Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Wewe unadhani biashara inaishia tu kwenye mauzo ya ving'amuzi? Kuna watu wameweka matangazo ya kabla, wakati na baada ya mechi, kuna mauzo ya matangazo youtube. Lakini hata yeye kujiuza kwa kuonyesha ligi kuu ya TZ ila kwa kinachotokea inashusha brand yake pia.Sasa yeye Azam ana hasara Gani wakati ameshauza vifurushi Tena kwa bei kubwa kwa watanzania wenzake. Waliopata hasara hapo ni wananchi walionunua vifurushi na wengine kusafiri kutoka mbali kuja kuona mechi hiyo.
Azam wameshapata pesa ya vingamuziTunachukuliana poa kwakua mmiliki wa haki ya matangazo ni MTanzania mwenzetu. Lakini proffessionally, financially hata socially anaenda kulilia chooni kwa hasara anayoingia na anafanya hivyo asiwakere waliompa tender.
Pole sana Azam, nia yako ni njema ila waliokupa kazi hawathamini jasho lako.
Nyie biashara haiishii kwenye ving'amuzi tu. Yawezekana hata hamjui ndio maana viongozi wenu wanakurupukaAzam wameshapata pesa ya vingamuzi
Azam kama mrusha matangazo hajapata hasara, wananchi waliolipia vifurushi na makampuni yaliyopeleka matangazo yao ili yarushwe wakati wa mechi ndio wamepata hasara na pesa hairudishwi.Wewe unadhani biashara inaishia tu kwenye mauzo ya ving'amuzi? Kuna watu wameweka matangazo ya kabla, wakati na baada ya mechi, kuna mauzo ya matangazo youtube. Lakini hata yeye kujiuza kwa kuonyesha ligi kuu ya TZ ila kwa kinachotokea inashusha brand yake pia.
Ngoja nifuturu. Nakurudia weweMtoa mada umekurupuka.
Aah aah!Mbuzi fc imewatia watu hasara
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.Mbuzi fc imewatia watu hasara
Low IQ mbumbumbu fcTunachukuliana poa kwakua mmiliki wa haki ya matangazo ni MTanzania mwenzetu. Lakini proffessionally, financially hata socially anaenda kulilia chooni kwa hasara anayoingia na anafanya hivyo asiwakere waliompa tender.
Pole sana Azam, nia yako ni njema ila waliokupa kazi hawathamini jasho lako.
Utopolo vyura mmemuogopa Elia mpanzu asiwabandueAah aah!
Mkuu umesahau kulikuwa na kondoo na njiwa kwenye basi.
Mahakama gani unaizungumzia?Bodi ya Ligi inapaswa kuburuzwa mahakamani kwa kuchukua maamuzi ya kijinga bila kufikiria, tangu lini mechi ikaahirishwa kisa timu kushindwa kupasha uwanjani