Naweka dau laki 3; Yanga hatoki kwa Al Hilal

Naweka dau laki 3; Yanga hatoki kwa Al Hilal

Linapokuja suala la michuano ya Africa....blaza....nakutaadharisha Simba ni kitu kingine kabisaa

Kama Hamna Ubingwa Wowote Mlowahi Kushinda Huko Kimataifa Basi Kaa Ukijua Nyie Ni Mafala Tu..Na Hamna Kitu Mnaweza Kufanya.

IMG_0127.jpg
 
Ah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mm nasema waingie tu hapa wakitolewa haraka haraka yatarudi bongo watafocuss na ligi tu

Inatakiwa pressure ijae kwa wote rotation zihusike kwa wote
Umewaza vuzuri sana
Maana kwa mchezo wao wa kukamia kama walivyowakamia wachovu Zalan,wakitolewa mapema watajipangia ratiba nzuri premier.
Mwalimu wao alishaanza kulalamika eti ratiba ngumu kwa yanga,wanajisahaulisha ilivyokuwa ngumu kwa Simba mwaka jana na hawajui ni kawaida ratiba kuwa hivyo.
Mwana kulitaka
 
Timu imepita kwa away goal advantage tena kwa timu ya Ethiopia ila inavyo pambwa wao hawaoni ugumu wanao enda kukutana nao na wa Angola walio shinda away
Hiyo timu ya Ethiopia unaichukulia poa kwa vile ilifungwa na Simba?
Mashabiki wa uto mna hesabu za kiutopolo.Ninyi kumfunga Simba kwa kumloga Zoran afanye sub za kipumbavu msije jiona mna uwezo sana.
 
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.

View attachment 2361516

Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.

Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.
Weka tigo
 
Simbilisi [emoji83]+Al hilal tengeneza kikosi kimoja ila tarehe 8/10 hatoki mtu goli 3 mpaka 4

Simbilisi [emoji83] waambieni marafiki zenu wamekosea njia ila wanapigika vizuri tu
 
Kwa hisani ya gugo.....

The name Hilāl is the Arabic word for crescent – a name chosen on a night when the crescent of the moon was visible in Omdurman. Also it is the first club in the world to be named (AL- HILAL).

On top, tukiweka records za team kwa team aisee jamaa wako mbali na Yanga wana mlima mrefu wa kuupanda ingawa huwezi jua mpira dk 90 ndani ya uwanja na mengine nje ya uwanja. Records za michuano hii zinaibeba Omdurman na pia uwanja wao unapakia 60000....na mashabiki wao Oya Oya za kutosha acha wetu akipigwa chenga mchezaji na tukifungwa au kusawazishiwa tunapoa kupoa.

Mie Mnyama ila Nawatikia kila la heri
Uwanja gani unaochukua Mashabiki 60000??
 
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.

View attachment 2361516

Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.

Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.
Hao watu wenyewe unao waongelea wamepita kwa goli LA ugenini , wanagekua vizuri wangetia mtu tano au tatu bila sawa , Ila hao Jamaa zako wanafungika vizuri tuu
 
Tutoke kwenye ushabiki wa hivi, Mimi sio shabiki wa Yanga ila natamani kuziona timu zote tatu za Tanzania zikitinga Groups Stage kwa maslahi mapana ya nchi.

Nimeona umoja wa mashabiki wa Al Hilal natamani na huku tuwe wamoja na sio kuombeana njaa
Utopolo ana maslahi gani ya nchi. Wewe utakuwa utopwinyo tu
 
Back
Top Bottom