Kosa la Wallace Karia ni kujiingiza katika vita isiyo na kichwa wala miguu, na mtu kama Haji Manara.
Hakika dunia itamdharau mpaka kiwango cha chini kabisa.
Malinzi yupi aliye lupango! Kama ni Jamal Malinzi, kitambo yuko zake Kagera anakula senene. Kama ni ile kesi yake ya mchongo ilikwisha tangu JPM akiwa bado ni Rais!!Muache baba wa watu, mbna una mganda sana?? Hangaika na Malinzi huko, uwage unampelekea chakula lupango huko.
Anachezeshwa vanga na Manyapara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hangaika nae huyo, aliyebebwa msobe msobe na defender.Malinzi yupi aliye lupango! Kama ni Jamal Malinzi, kitambo yuko zake Kagera anakula senene. Kama ni ile kesi yake ya mchongo ilikwisha tangu JPM akiwa bado ni Rais!!
Mapenzi kazini kitovu cha uzembeHers anatanguliza urafiki kwenye kazi. Asipoangalia msukule utaiweka timu matatani
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hivi adhabu ilishatolewa au hili suala ndio limeisha kimyakimya huko TFF"Haji Manara juzi alikuja katika Tamasha la Yanga SC na hakuja katika Shughuli za Kimpira za Klabu ya Yanga " Arafat Haji Makamu Rais wa Yanga SC.
Taarifa: EFM Sports Headquarters leo.
Makamu Rais wa Yanga SC Arafat Haji kumbe Siku zile ( Juzi ) Haji Manara ( Mfungwa Mkaidi ) alikuja Kutambulisha Wachezaji wa Tamasha la Yanga na siyo Wachezaji wa Yanga SC wa Msimu mpya ( ujao ) wa Ligi Kuu ya NBC na Klabu Bingwa Afrika?
Kitendo cha Uongozi mpya wa Yanga SC hii chini ya Rais Injinia Hersi Said kukosa Mseto wa Wazee naona kinaanza sasa Kuwagharimu na wasiposhtuka itakuja Kuwagharimu pakubwa na kuathiri hata 'perfomance' yao Uwanjani.
Na taratibu sasa GENTAMYCINE naanza kuamini kuwa huenda aliyekuwa CEO wa Yanga SC Mweledi Senzo Mbatha Mazingisa alishaona dalili za Matatizo ya Kiutawala na Watawala wapya wa Yanga SC ambao huenda Machoni wanatuonyesha ni Weledi ila Kiuhalisia kumbe ni Waswahili kama walivyo Waswahili wengine wanaoliharibu Soka la Tanzania ambalo sifichi au sioni Aibu kusema na Kukiri kuwa linaharibiwa na Wadau wa Yanga na Simba.
Bado wanafanya uchunguzi labda subiriniHivi adhabu ilishatolewa au hili suala ndio limeisha kimyakimya huko TFF
Wamesema wanasubiri wazitoe zote mbili kwa pamoja ili kubalance na ile ya viongozi wa SeMBe kutaka kumhonga Vits Ramadhan Kabwili.Hivi adhabu ilishatolewa au hili suala ndio limeisha kimyakimya huko TFF