Naweka Utani wangu pembeni tafadhali wana Yanga SC wawapige Stop kwa muda Viongozi wao Kulizungumzia Sakata la Juzi la Haji Manara

Kosa la Wallace Karia ni kujiingiza katika vita isiyo na kichwa wala miguu, na mtu kama Haji Manara.

Hakika dunia itamdharau mpaka kiwango cha chini kabisa.

Dunia ya watu wa yanga au???coz ye kafata sheria huo ugomvi uko wapi hapo
 
Muache baba wa watu, mbna una mganda sana?? Hangaika na Malinzi huko, uwage unampelekea chakula lupango huko.

Anachezeshwa vanga na Manyapara.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malinzi yupi aliye lupango! Kama ni Jamal Malinzi, kitambo yuko zake Kagera anakula senene. Kama ni ile kesi yake ya mchongo ilikwisha tangu JPM akiwa bado ni Rais!!
 
Malinzi yupi aliye lupango! Kama ni Jamal Malinzi, kitambo yuko zake Kagera anakula senene. Kama ni ile kesi yake ya mchongo ilikwisha tangu JPM akiwa bado ni Rais!!
Ndo hangaika nae huyo, aliyebebwa msobe msobe na defender.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Muache Karia wa watu, tena yuko buzzy na ugeni wa FIFA na CAF.

poleeee kwa kuteseka,. Na utaumia mnoooo.
Karia bado yupo yupo sanaaaa!!!!!!!


Byuti byuti
 
Hivi adhabu ilishatolewa au hili suala ndio limeisha kimyakimya huko TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…