Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa 15m?

Lete mil.6 tufanye biashara ya dhahabu tutakua tunazungusha faida ya mil 1.5 kila week lakini kwa kuwa mie ntakua nashinda site itabidi niwe nalamba hizo laki tano then wewe unakula mil.1 hiyo ni hesabu ya week.....
Nimependa hii... nitumie namba yako mkuu
 
Hii pia nzuri
 
Fungua pharmacy mimi nmesomea mambo hayo nitakusaidia kuoperate na faida yake n kubwa na utaiona. Mawasiliano 0658047048
 
Tengeneza kipato cha Ziada Kwa kupata kitabu maalumu kitakacho kufanya ujue kutengeneza bidhaa mbali mbali muhimu za viwamdani nyumbani kwako na uweze kujiajiri. Kitabu hicho utakipata Kwa bei ya TSh.5,000 tu! Katika email au whatsup yako. Nipigie au whatsup 0762208190 AU 0718978295. Utachagua unacho taka kujiajiri kitaalam kupitia kitabu hicho
 
Lete mil.6 tufanye biashara ya dhahabu tutakua tunazungusha faida ya mil 1.5 kila week lakini kwa kuwa mie ntakua nashinda site itabidi niwe nalamba hizo laki tano then wewe unakula mil.1 hiyo ni hesabu ya week.....
Biashara nzur sana lakin hauhitaji kuiweka kitega uchumi cha miaka yako yote....ni biashara nzur kupatia mtaji,na kupanulia akil ya kuwa na uwekezaj mwengne!! [emoji106] ...
 
Biashara nzur sana lakin hauhitaji kuiweka kitega uchumi cha miaka yako yote....ni biashara nzur kupatia mtaji,na kupanulia akil ya kuwa na uwekezaj mwengne!! [emoji106] ...
Always husitegemee biashara moja.....ukifanya business hii huwa haijifichi utaona fursa zingine
 
Duh kwel binadam tupo tofauti,,15ml hujui ufanye nn? Nipe hyo hela kila mwezi nikulipe 1.6 ml na hela yako IPO baada ya mwaka makupa hela yako yte...
 
Electronic money transfer pamoja na vocha za jumla na si rejereja ,akipata site nzuri mwaka mmoja anaendesha Audi q6 ,hizo gesi sijui kusajili laini uchawi tu kwa milion 15.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vitu vingine vina mutual benefit. You win, I win. Kqtika mazingira kama haya ni ngumu kumwaga kila kitu. Ila ukitaka nikumwagie wewe nifate PM. Kuwa na amani
Kwa iyo unataka kwenye iyo m15 nawe ufaidike? sa si atabidi aje na thredi nyingine ya m10?!!
 
Ulishawahi fikiria soko?
 
Nakushauri fanya biashara ya mazao(chakula) hutajutia.

ANGALIZO:
>Tafuta unae mwamini akufundishe hii biashara.

>Usitake (usiwe na tamaa au haraka ya )faida kubwa kipindi unaanza biashara mpya!

>Usitumie akiba yako yote kufanya biashara mpya( siku moja utapiga ukunga )

>Usilete nyodo/kuwa dharau ulio wakuta kwenye hiyo biashara mpya!
atakama umewazidi mtaji au umri.

>Pamoja unabidi uwe kalibu na wenyeji na kusihi sana kua makini nao na katika swala la pesa usimwamini mtu!

>Kwenye biashara kuna hasara,kila penye faida kuna hasara kama wewe ni risk avoider ludisha pesa za watu ujasiliamali huta uweza!
 
Yaani hilo dau ulilolitaja limewatoa watu udenda badala ya kutoa ushauri wamebaki wanaweweseka, yaani karibu wote walio changia wanaitaka hiyo mil 15 yako so take care, wengine wanataka uwape kazi wengine uende pm wakupige sound, wengine wanataka ununue vitabu vyao vya ujasiriamali, wengine wanakupa links za thread zao za kutafuta hela dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…