Kwa nini usimwambie tu kwamba aende kwenye duka linalouza madawa ya kilimo na mifugo kuliko kumwambia aende Kariakoo? Kama yupo mkoani na kama huko mkoani hakuna soko la Kariakoo afunge safari kwenda mji wenye soko la Kariakoo? BTW dawa nzuri kabisa a kuua kunguni ni Diazinon.Nenda Kkoo sokoni floor ya juu kule kuna madawa yana uzwa yakuangamiza hao viumbe wakorofi
Huyo mama simtaalamu Sumu kama sumu ikilikuta yai inaliharibu hapohapo hata kama limetotolewa leoTatizo tunakosea jins ya kutumia dawa.. mimi walinisumbua sana siku moja nikaenda kkoo kwenye haya maduka ya dawa za mifugo nikakuta muuzaji ni mama wa makamo nikamueleza tatizo langu akaniambia mwanangu ukitaka kuwmaliza hawa wadudu ni lazima upige dawa mara 4 au 5 kila baada ya siku 7 unapiga.. akanieleza sbb za kupiga dawa baada ya siku 7 ni kwamba unapopiga dawa unakua umeua kunguni as kunguni lkn mayai yanabaki, na mayai ya kunguni yanajiengua baada ya siku 7 wanakua tayar wadudu hivyo ukipiga tena unakua umeua wale walioenguliwa, baada ya siku saba yataenguliwa tena mengine hivyo ukipiga dawa unakua umeua kizaz kingine... so ukifanya hivyo round 4 au 5 utakua umetekeza kizaz chote... nilifanya hivyo had leo kwangu kungun historia... naatach dawa niliotumiaView attachment 1631568
Huyo mama simtaalamu Sumu kama sumu ikilikuta yai inaliharibu hapohapo hata kama limetotolewa leo
Uliwapata kwenye shule ya bweni au kwenye daladala?? TehtehtehHabari wana JamiiForums hope wote mpo poa ndugu yenu nina mabalaa apa ni mwez wa tatu huu cjalala kwa raha nimevamiwa na kungun hata cjui nifanyaje.
Balaa lilianza kama miezi mitatu iliopita nilikuwa nalala kwenye godoro ambalo halina foronya nikavamiwa na kungun nikawa silali vizuri nikaamua kununua foronya km zile za kwenye makoch ya magar ila kubwa enough kwa kufunika godoro hali ikaisha nikawa nalala raha mustarehe sasa sijui imekuwaje.
Kunguni wakajipanga sasa hivi foronya ipo lkn wanakuja juu sijui hata wanapita wapi nikawa najikuna usiku mzima nikaona isiwe kesi ngoja nikafue mashuka na foronya na godoro nikatoa nje lkn wapi hali ni ileile.
Nikasema ngoja nipige pas lakini mashuka bado jamaa wapo nikaenda kununua dawa moja hivi ya unga niliambiwa ni nzur nikamwaga unga kwenye godoro kitanda kizima kila kwenye tundu lakini hali bado tete nalala kwa shida yaan usiku imekuwa km series ya kujikuna kila siku niwaua kungun kwa kuwabinya watatoa harufu moja matata lkn wapi nimegundua kuna kungun wengine ni wadogo mno ivo ukifeel tu unawasha basi jua upo apo karibu utafeel anavyotembea.
Sasa naombeni mnisaidie nifanyaje
Uliwapata kwenye shule ya bweni au kwenye daladala?? Tehtehteh
Hahahaha okHawana formula hao.. hata maofin wapo.. ukibeba hata mmojja tu umfikishe home hapo ni balaaa wana uwezo wa kutaga peke yake
[emoji23][emoji23][emoji23] na mwaka sasa cjawackia wala kuwaonaWanauwezo wa kukaa hata miaka 10 na kufufuka, hapo kama huamini mda wowote watafufuka
YES iyo dawa uliyo itaja kali sana. Big up chiwf kwa kumuokoa mjumbe maana angekimbia chumba huyoKwa nini usimwambie tu kwamba aende kwenye duka linalouza madawa ya kilimo na mifugo kuliko kumwambia aende Kariakoo? Kama yupo mkoani na kama huko mkoani hakuna soko la Kariakoo afunge safari kwenda mji wenye soko la Kariakoo? BTW dawa nzuri kabisa a kuua kunguni ni Diazinon.
Nashukurun wadau kwa michango yenu j3 naenda nunua dawa zote leo ntalala kwenye koch