Mwalimu wa uchumi
Member
- Sep 5, 2017
- 6
- 2
Inaitwaje hiyo dawaNilihangaishwa na hawa wadudu kwa muda mrefu, nilituma kila dawa niliyoelekezwa za kienyeji na za kitaalamu bila mafanikio mpaka nilipokutana na mama mmoja anayeuza dawa ya asili ya kuua kunguni aisee! imebaki historia nililipa Tsh 1000 tu lakini kunguni waliisha Kabisa . Dawa ya huyu mama ni nzuri imeua soko la dawa za madukani mpaka wenye maduka ya kilimo hawampendi huyu mama.
Dawa ya kunguni ni moja tu..maji ya moto narudia tena maji ya moto...kununua madawa ni kupoteza pesa mana madawa ya sumu hayawaui mana mengi yao ni feki.Changanya sabuni ya unga, chumvi na Mafuta ya Taa, weka kwenye chupa ya maji ya plastic toboa matobo kwenye mfuniko spray Kila sehemu kwa kitanda, na godoro, ukimaliza anika juani, kitanda mwagia maji ya moto, mashuka yote .na nguo zilizo jirani loweka na msji ya mo to o, utskua in mewaangamiza wote pamoja na mayai Yao.
ngoja niijaribu nionenenda duka la kilimo tafuta 'TwigaPrid' ni kama 15k ivi
changanya na maji lita 20 kisha weka kwenye sprayer tank ya lita 2
spray ndani ya godoro, na kitanda chote
hata nyenyere hutokaa umuone tena
ngoja niifanye iyo njia yako,kwangu wamejaa mpaka kero,kila siku nawaua lakini hawaishiMzee mimi ni muhanga wa Hao wadudu kwa miaka karibu Mitatu! ni wadudu wa ajabu sana, Nilitumia Dawa zote za Kunguni bila mafanikio. Ila nilikuja kuwaangamiza kwa njia rahisi sana.
Kwanza unatakiwa kujua maeneo wanamojificha zaidi katika chumba.
Sehemu yao No 1 ni kwenye Foronya.
Sehemu yao ya 2 ni kwenye Kitanda hasa kikiwa cha mbao, Hujificha kwenye pembe na maungio ya kitanda. huzaliana humo kwa raha mustarehe wakipata food ya damu kila siku na kurudi kwenye makao yao salama ya kitanda.
Sehemu yao 3 ni kwenye sofa, hasa kama una sofa la kitambaa.
Sehemu yao ya 4 ni kwenye nguo unazazovaa.
TIBA YA UHAKIKA.
Kwa upande wangu Naamini Tiba kiboko ya kunguni ni MAJI YA MOTO
Hatua.
1. Chemsha maji kwenye sufuria yachemke na kutokota.
2. Weka maji hao kwenye Chombo
3.Tenganisha Dogoro na Kitanda.
Kama unaweza Fungua Kitanda kabisa Uweke chini
4.Mwagia Maji yaliyotoka kutokota kitanda na chaga vyote, Vilowe kwa maji ya moto hasa, Chukua Foronya Hilo Loweka kwenye maji ya Moto hasa Ulifue. Godolo litoe foronya na kama Godoro lina tundu lolote Hakikisha unamwagia hapo maji ya moto.
Ukimaliza Operation hiyo kwenye kitanda siku hiyo hiyo hakikisha unatoa nguo zako zote na kuzifua kwa maji ya moto.
Kama una sofa la kitambaa hakikisha unamwagia maji ya moto kwenye pembe zote, hapo uwe mwangalifu sana maana wale jamaa ni wahuni wanaweza kula kona.
Ukimaliza kumwagia maji ya moto kitanda, nguo, Godoro na sofa. Hakikisha mwisho na nguo ulizozivaa hapo Zinafuliwa kwa maji ya moto. Zoezi hilo lifanye mara mbili ndani ya mwezi mmoja.
Hao kunguni wote watapotea na katu hutawasikia ndani kwako.
Bila ya kufanya hivyo mzee jiandae kuishi nao hao jamaa maana huwa hawaishi. Unaweza kuwapoteza kwa mwezi mmoja baadae unakuta wameshafurika tena ndani.
Kanunue twigafos watakufa wotengoja niifanye iyo njia yako,kwangu wamejaa mpaka kero,kila siku nawaua lakini hawaishi
iyo dawa utaikuta maduka ya kilimo ama,na inauzwajeKanunue twigafos watakufa wote
Ndio bei kwa sas hv cjui Tsh ngap nilinunuaga 4000 au 5000 kama cjakoseaiyo dawa utaikuta maduka ya kilimo ama,na inauzwaje
cc Antonnia
Wee Excel hivi upogo??? 😁Long time kitambo!
nipo sana antonie!Wee Excel hivi upogo??? 😁Long time kitambo!
Nimefurahi kukuona tena jf!
Ndio waweza!nipo sana antonie!
vp naweza kuongea na wewe by voice?
naomba mawasiliano Pls..Ndio waweza!
Mi nikajua uvouliza kwamba unayo doh!!naomba mawasiliano Pls..
i wish niongee na wewe..Mi nikajua uvouliza kwamba unayo doh!!