Dawa ya twiga ni dawa ya kwenye pamba ni kali sana kunguni hawawezi kustahimili, lakini mimi nili experience ikiwapiga hiyo wanakimbilia darini na kwenye taa
Hawa wadudu kuna siku niliwafungia kazi, nilitoa vitu vyote nje.
Nikaziacha chaga n akitanda cha chuma nje usiku na mchana tena jua la Septemba lile wakaisoma namba.
Mvua zilivyoanza nikarudisha kila kitu ndani, sahivi mambo ni mwake
Hawa wadudu kuna siku niliwafungia kazi, nilitoa vitu vyote nje.
Nikaziacha chaga n akitanda cha chuma nje usiku na mchana tena jua la Septemba lile wakaisoma namba.
Mvua zilivyoanza nikarudisha kila kitu ndani, sahivi mambo ni mwake
Hawa wadudu kuna siku niliwafungia kazi, nilitoa vitu vyote nje.
Nikaziacha chaga n akitanda cha chuma nje usiku na mchana tena jua la Septemba lile wakaisoma namba.
Mvua zilivyoanza nikarudisha kila kitu ndani, sahivi mambo ni mwake