Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kunitajia mkuu hayo makubaliano
Hatifungani za Serikalini ni salama kwa kiwango kikubwa sana,labda kama itatokea vita au Mapinduzi, hapo kidogo iko tafrani, utakuwa kati ya wale wanaoidai Serikali.Vp kuhusu usalama wa pesa
Ambapo kulipwa sahauHatifungani za Serikalini ni salama kwa kiwango kikubwa sana,labda kama itatokea vita au Mapinduzi, hapo kidogo iko tafrani, utakuwa kati ya wale wanaoidai Serikali.
Hapana, deni litalipwa ila kwa kuchelewa.
Mimi niko na horse tunaweza sheaHabari wakuu naweza kupata mkopo bank dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu?
Mfano, kwenye account Nina million 40 nataka kununua Guta nifanyie biashara hivyo sitaki kushusha salio la balance yangu iliyokuwepo kwenye account hivyo Sasa nataka kukopa milion 4. Je inawezekana?