Naweza kukopa pesa benki dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu?

Naweza kukopa pesa benki dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu?

Achana na mpango wa kukopa bank. Chukua hapo kwenye pesa yako. Halafu nunua hilo guta. Piga kazi ukirudishia ile uliyochukua. Na kiasi ambacho ilikuwa utoe riba bank utabaki nacho mwenyewe.

Namna nyingine ya kufanya,baada ya kudokoa hicho kiasi unachotaka kutoka kwenye salio lako. Unaweza kukubaliana na bank uifunge hiyo akaunti isitoe hela mpaka miaka mi5 labda. Ila iwe inaingiza tu. Mfano weka malengo kuringana na biashara yako,kila siku unakubalina nao utakuwa unaingiza labda elfu 20. Hiyo lazima iingie kila siku. Kwa muda wa miaka mi5. Utakuwa umejikusanyia kiasi kikubwa cha pesa. Na bank ksbb hiyo hela unakuwa huitoi wanakulipa riba wewe. (Wapo wataalam wa hii humu wanaweza kuilezea vizuri)
 
Habari wakuu naweza kupata mkopo bank dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu?

Mfano, kwenye account Nina million 40 nataka kununua Guta nifanyie biashara hivyo sitaki kushusha salio la balance yangu iliyokuwepo kwenye account hivyo Sasa nataka kukopa milion 4. Je inawezekana?
Mimi niko na horse tunaweza shea

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom