Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

Ambros Kiwale

Member
Joined
Oct 30, 2023
Posts
50
Reaction score
70
Habari ndugu Wana JF,

Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.

Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!

Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;

Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.

Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.

SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?

Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?

Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.

Asante sana kwa ushirikiano
 
Habari ndugu Wana JF,

Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.

Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!

Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;

Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.

Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.

SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?

Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?

Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.

Asante sana kwa ushirikiano

Kama una nafasi na fursa ya kusoma basi nenda kasome masters.
Kwa upande wa kurudia kusoma degree hapana labda degree ya kozi nyingine tofauti.

Ukisoma masters utakuwa umejiongezea sifa/vigezo vya kupata nafasi ya kufundisha chuo.

Kila la kheri!
 
Habari ndugu Wana JF,

Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.

Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!

Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;

Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.

Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.

SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?

Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?

Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.

Asante sana kwa ushirikiano
Hio GPA haijakusaidia kutatia changamoto mtaani? tuna safari ndefu mno Africa
 
Maswali machache ndugu mwalimu,
1. Unadhani utapewa ruhusa kwenda kusoma tena kwa kitu kile kile?

2. Kama ulishindwa pata jipiei nzuri kipindi cha mwanzo unahisi nini kimebadilika sasa hivi utaipata?
3. Ukitaka kuwa mwalimu chuo wale wajinga wanaangaliaga kuanzia jipiei ya bachelor kwahiyo usiwaamini sana wanaokushauri ukasome masters moja kwa moja
4. Haya mambo ni saikolojia tu mkuu, ukipata sehemu ingine nako utaboreka tu. Imejini kuna mtu saa hizi ana degree kama wewe ya ualimu au hata udokta ila saa hizi yupo mtaani na kashafanya intavyuu ya tamisemi mara kibao anakosa. Mshukuru Mungu kwa hapo ulipo alafu jiendeleze
 
Acha upuuzi wewe , huo
Habari ndugu Wana JF,

Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.

Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!

Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;

Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.

Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.

SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?

Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?

Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.

Asante sana kwa ushirikiano
Acha upuuzi , huo muda bora ukapige nyeto
 
Muda unao
Amua lolote ni maisha yako kuishi kwa Amani

Kumbuka kusongesha maisha pia papo hapo
 
Maamuzi ni yako mkuu,Mana nna mtu alisoma degree akamaliza hakuipenda akarudia nyingine na kupiga mpka PhD ,Maamuzi ni Yako Hapa tutakuponda weeh ila uhalisia unajulikana kuwa lecturer chuo kikuu GPA ianzie 3.8 na 3.5 vyuo vya kati na ka masters pia ...Maamuzi ni Yako kama Nguvu unazo fanya kile moyo unachopenda
 
Kama una nafasi na fursa ya kusoma basi nenda kasome masters.
Kwa upande wa kurudia kusoma degree hapana labda degree ya kozi nyingine tofauti.

Ukisoma masters utakuwa umejiongezea sifa/vigezo vya kupata nafasi ya kufundisha chuo.

Kila la kheri!
Chuo gani hiko? Labda chuo cha Kata

Ila vinavyojielewa hamna hamna 3.5 ila standard ni 3.8 na wenzetu wameenda mbali zaidi bila 4.0 humpigishi mtu pindi
 
Habari ndugu Wana JF,

Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.

Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!

Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;

Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.

Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.

SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?

Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?

Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.

Asante sana kwa ushirikiano
Muda unaenda majukumu yanaongezeka Tafuta tu hela...Side hustle zipo kibao Biashara, Kilimo na mambo mengine
 
Back
Top Bottom