Ambros Kiwale
Member
- Oct 30, 2023
- 50
- 70
Habari ndugu Wana JF,
Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.
Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!
Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;
Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.
Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.
SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?
Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?
Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.
Asante sana kwa ushirikiano
Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.
Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!
Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;
Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.
Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.
SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?
Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?
Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.
Asante sana kwa ushirikiano