Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee baba nakuja mbele zako kuungama kwa kusoma uzi wa kijinga kiasi hiki. Amen
Mleta uzi ingekuwa unaenda kusomea kitu tofauti ningekuunga mkono ila wazo lako la kwenda kutafuta GPA kubwa ni la kipuuzi mno. Hapo ulipo kama ni mwanaume unatakiwa utazame kutengeneza hela zaidi ili kujiandaa na majukumu ya familia kama bado hauna. Tafuta hela jomba acha upumbavu.
Najaribu kutaka kujinasua tu kutoka nilipo na ili iwe hivyo GPA matters, unless wazo jipya jengefu linapokelewaJIPIEI ina faida gani hapo kwenye kitengo chako mzee.
tafuta program ya masters nzurii usome ambayo itakupa fursa ya kufanya kazi hata kwenye mashirika.I
I Think nahitaji ushauri kulingana na uzoefu na sio maswali as if sijaeleweka. Punguzeni negativity, najua wapi nilikosea Ila Nina lengo hivyo najaribu kujifunza Sasa maswali mengi
Asante kwa taarifa, sikujua kuwa Ni Kama NECTA. Nitafanya kazi ushauri huu.TCU wanatoaga cheti kimoja tu kwa course husika km ilivyo NECTA... Huwezi ukaenda kurudia hiyohiyo course wakati ushahitimu na kutunukiwa cheti.
Hapo labda ukasomee degree nyingine inayoendana na hiyo uliyosoma mwanzo lakini sio kuirudia hiyohiyo.
Nimepokea wazo hili.tafuta program ya masters nzurii usome ambayo itakupa fursa ya kufanya kazi hata kwenye mashirika.
Hii inaonyesha wazi ubovu wa elimu yetu, tunasoma ili tuajiliwe wala si kutambua na kutumia fulsa zilizo ktk taifa letu pendwaHabari ndugu Wana JF,
Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.
Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!
Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;
Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.
Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.
SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?
Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?
Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.
Asante sana kwa ushirikiano
Yes hata Mimi nimesoma na jamaa alisoma Engineering hakuipenda kabisa .Akaenda kusoma medicine tena alianzia diploma kwasasa amemaliza MMED (Anaesthesiology)Maamuzi ni yako mkuu,Mana nna mtu alisoma degree akamaliza hakuipenda akarudia nyingine na kupiga mpka PhD ,Maamuzi ni Yako Hapa tutakuponda weeh ila uhalisia unajulikana kuwa lecturer chuo kikuu GPA ianzie 3.8 na 3.5 vyuo vya kati na ka masters pia ...Maamuzi ni Yako kama Nguvu unazo fanya kile moyo unachopenda
Hii inaonyesha wazi ubovu wa elimu yetu, tunasoma ili tuajiliwe wala si kutambua na kutumia fulsa zilizo ktk taifa letu pendwa
Kazi ambazo wasomi huzichukulia kama kazi za kishamba ndo kazi zinazowapa utajiri wa kutisha wale walioamua kuzitumia fulsa vema,
Elimu yetu ni ya kishamba sana, Mungu katupa akili katunyima ufaham wa kuzitumia vema
Hata wale waxhache waliojaaliwa ufahamu, wakienda tu shule kila kitu hubadirika
Endelea kuwa na wasiwasi.Kwa swali la kipuuzi kama iloo na wasiwasi na degree yako.
Zipo, muda unaotumika kumtumikia gavoo na unaobaki kwa ajili yako binafsi compared na outcome kwenye hela Kuna haja ya kuona possible way kufikia hatua nyingine Ila ushauri nimeupokeaMbona unataka kupoteza pesa na mda wako pasipo na sababu za nsingi
GPA haitakusaidia kitu bali ubunifu wako wa namna ya kutumia ulichopata darasani ukikitumia nje ya darasa. Kwani Samia elimu na GPA yake ni vipi?Kama una nafasi na fursa ya kusoma basi nenda kasome masters.
Kwa upande wa kurudia kusoma degree hapana labda degree ya kozi nyingine tofauti.
Ukisoma masters utakuwa umejiongezea sifa/vigezo vya kupata nafasi ya kufundisha chuo.
Kila la kheri!
GPA haitakusaidia kitu bali ubunifu wako wa namna ya kutumia ulichopata darasani ukikitumia nje ya darasa. Kwani Samia elimu na GPA yake ni vipi?
Pitia Prospectus ya Udsm, Udom na vyuo Vikuu vichache vya East Africa kama vile Nairobi na Kampala huko utapata kuona mwanga wa vigezo kwa program mbalimbali ambazo utatamani kusoma.Nimepokea wazo hili.
Unaweza Nipa mwanga zaidi mathalani nimesoma Geography na Kiingereza masters ipi inaweza kuwa na market ambayo kwa msingi nilionao naweza pambana nayo
Kupata sifa za kuweza kufundisha katika vyuo vya kati au vya juu ni lengo zuri sana ambalo linaweza kufikiwa kupitia njia mbalimbali.Habari ndugu Wana JF,
Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.
Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!
Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;
Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.
Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.
SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?
Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?
Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.
Asante sana kwa ushirikiano
Kuna umri nlichukia sana mvua, kumbe elimu ingejikita kunipa facts umuhimu wa mvua na maji yanayoizunguka mitaa yangu, nsingejikuta natoka usingizin kwa kuchelewaNakubaliana nawe, tunaenda kubumbwa bumbwa Hadi baadae muda unapotea application Ni below expectations. Tunazidiwa na tuliowaacha mtaani