Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Labda usome degree nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ujuaji, toa ushauri kulingana na request yanguYaani usomee taaluma uliyonayo tena Kwa level hiyo hiyo ya shahada ya Kwanza?
Bila Shaka wewe ni wale wenye vyeti vingi vya o level na A level
USHAURI WANGU NI HUUHabari ndugu Wana JF,
Kwanza nimshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai.
Pili, nawaomba wazoefu na Mambo wanipe elimu/ufafanuzi juu ya wazo langu lifuatalo kuhusu masomo ya elimu ya juu!
Kabla sijaweka swali, niruhusuni nijisemee kwa kifupi;
Mimi ni mwajiriwa wa serikali kada ya ualimu, Nina shahada (BAEd) masomo ya Geography na Kiingereza.
Nilipata GPA 3.4, hivi karibuni nimezongwa na kiu ya kutafuta sifa za kufundisha vyuo viwe vya Kati au juu Ila kwa kuanzia tu na "tutor or tutorial assistant" kitu ambacho natambua GPA hairuhusu.
SWALI: Je, naruhusiwa kusoma upya bachelor degree of Arts with Education ili kujaribu kutafuta GPA stahiki?
Au Kuna namna yoyote ya kufanya ili kuwa na sifa linganifu? Au nikisoma masters degree moja kwa moja inatosha?
Kwa kumalizia, natamani Sana niondoke kwenye ajira iliyo chini ya TAMISEMI, hivyo iwavyo yeyote anayeweza kunipa guidelines au fursa au connection ya transfer kutoka niliko kwenda kwingineko ninakoweza kufit Nita appreciate Sana. Dm zinakaribishwa pia.
Asante sana kwa ushirikiano
Sheria mpya inahitaji kuwatambua mabinti wa chuo Kama wanafunzi wa secondary ,Sasa kazi kwako na tamaa zako kaka
Nashukuru kwa ushauri. Jibu la swali lako Ni kwamba najua sababu zilizonikosesha hiyo 3.5 and above na kuangukia 3.4Maswali machache ndugu mwalimu,
1. Unadhani utapewa ruhusa kwenda kusoma tena kwa kitu kile kile?
2. Kama ulishindwa pata jipiei nzuri kipindi cha mwanzo unahisi nini kimebadilika sasa hivi utaipata?
3. Ukitaka kuwa mwalimu chuo wale wajinga wanaangaliaga kuanzia jipiei ya bachelor kwahiyo usiwaamini sana wanaokushauri ukasome masters moja kwa moja
4. Haya mambo ni saikolojia tu mkuu, ukipata sehemu ingine nako utaboreka tu. Imejini kuna mtu saa hizi ana degree kama wewe ya ualimu au hata udokta ila saa hizi yupo mtaani na kashafanya intavyuu ya tamisemi mara kibao anakosa. Mshukuru Mungu kwa hapo ulipo alafu jiendeleze
Si ungekaa kimya tu. Umri huo unawaza nyeto!! 😡😡😡Acha upuuzi wewe , huo
Acha upuuzi , huo muda bora ukapige nyeto
Chuo gani hiko? Labda chuo cha Kata
Ila vinavyojielewa hamna hamna 3.5 ila standard ni 3.8 na wenzetu wameenda mbali zaidi bila 4.0 humpigishi mtu pindi
Si kweli mkuuHuu mwandiko utakuwa wa mhitimu wa UDOM
Chuo gani?Si kweli mkuu
ETU Ila kwa Sasa kilikula rungu hawatoi Tena shahadaChuo gani?
😆😆😆😆 Mwandiko wa mhitimu wa UDSM unakuaje Mkuu?Huu mwandiko utakuwa wa mhitimu wa UDOM
Kwa UDSM utoke na 3.4 halafu eti useme urudi kupandisha GPA hakuna anayeweza kuthubutu 🤣🤣🤣😆😆😆😆 Mwandiko wa mhitimu wa UDSM unakuaje Mkuu?
Lengo lako ni ufundishe tu?I
I Think nahitaji ushauri kulingana na uzoefu na sio maswali as if sijaeleweka. Punguzeni negativity, najua wapi nilikosea Ila Nina lengo hivyo najaribu kujifunza Sasa maswali mengi
Chuo gani atapata nafasi kufundissha na GPA ya 3.4 ya bachelor degree!? Hapo ni kusoma tu bachelor nyingine kama ndoto ni kupata qualifications za kufundisha chuo. Unatakiwa uwe na GPA ya 3.5 kwa vyuo vya kati, na 3.8 kwa baadhi ya vyuo vikuu.