Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

Pu
Yaani usomee taaluma uliyonayo tena Kwa level hiyo hiyo ya shahada ya Kwanza?

Bila Shaka wewe ni wale wenye vyeti vingi vya o level na A level
Punguza ujuaji, toa ushauri kulingana na request yangu
 
USHAURI WANGU NI HUU
Tofautisha na uchague kati ya;

Unachokitaka Vs Kinachokufaa
 
Nashukuru kwa ushauri. Jibu la swali lako Ni kwamba najua sababu zilizonikosesha hiyo 3.5 and above na kuangukia 3.4
 
Dah hongera kwa kuwa na ajira lakini pia mkuu ni Ile ukasome masters au fani nyingine mkuu! Full stop

Brother kwenda kusoma degree Ile Ile Kwa umri ni kujitakia shida. Labda kama huna majukumu makubwa, huna watoto na una mda wa kuchezea hapo ukute your 30 and above?
 
Jf imekua ya hovyo dadeki, majitu yanatema nyongo tu na sio msaada wowote, ni kejeli, matusi na kukatisha tamaa.

Itafute masters kijana, tafuta pia taarifa toka taasisi husika na watu walio huko kama unawajua, hapa hamna majibu utakayo. Jamii forums has fallen.
 
Sijui hii inawezekana au lah , nashauri now si umesoma Bachelor of Arts in Education. Ukirudi unaenda kusoma Bachelor of Education in Special needs au Bachelor of Education in Early Childhood 🀣 hii mbinu inaweza ikakubeba mkuu !

Unapiga course ya Elimu ila kwenye kipengele tofaufi !
 
Chuo gani atapata nafasi kufundissha na GPA ya 3.4 ya bachelor degree!? Hapo ni kusoma tu bachelor nyingine kama ndoto ni kupata qualifications za kufundisha chuo. Unatakiwa uwe na GPA ya 3.5 kwa vyuo vya kati, na 3.8 kwa baadhi ya vyuo vikuu.
 
Ee baba nakuja mbele zako kuungama kwa kusoma uzi wa kijinga kiasi hiki. Amen
Mleta uzi ingekuwa unaenda kusomea kitu tofauti ningekuunga mkono ila wazo lako la kwenda kutafuta GPA kubwa ni la kipuuzi mno. Hapo ulipo kama ni mwanaume unatakiwa utazame kutengeneza hela zaidi ili kujiandaa na majukumu ya familia kama bado hauna. Tafuta hela jomba acha upumbavu.
 
Ndio maana nikaja kujiuliza kupata wazo jipya. Najua wazo vigezo Ni tight ndio najaribu kuwaza Kama naweza boresha mambo
Chuo gani atapata nafasi kufundissha na GPA ya 3.4 ya bachelor degree!? Hapo ni kusoma tu bachelor nyingine kama ndoto ni kupata qualifications za kufundisha chuo. Unatakiwa uwe na GPA ya 3.5 kwa vyuo vya kati, na 3.8 kwa baadhi ya vyuo vikuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…