Naweza nikatrack mawasiliano ya simu ambayo nimeongea nayo juzi? Kijana kakimbia na pikipiki yangu toka juzi, hivi sasa hapatikani.

Naweza nikatrack mawasiliano ya simu ambayo nimeongea nayo juzi? Kijana kakimbia na pikipiki yangu toka juzi, hivi sasa hapatikani.

MOSHI UFUNDI

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2022
Posts
526
Reaction score
1,222
Habari viongozi?
Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda.
Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti.
Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana ambae tulikuwa tunakaa nae maskani muda mwingi so tulikuwa tunaprocess hayo mambo huku akiendelea na kazi.
 
Habari viongozi?
Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda.
Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti.
Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana ambae tulikuwa tunakaa nae maskani muda mwingi so tulikuwa tunaprocess hayo mambo huku akiendelea na kazi.
Karipoti polisi watakusaidia ila ndio hivyo uwe na pesa ya kuwapooza..
 
Habari viongozi?
Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda.
Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti.
Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana ambae tulikuwa tunakaa nae maskani muda mwingi so tulikuwa tunaprocess hayo mambo huku akiendelea na kazi.
Unakunywaga wanzuki?
 
Hivi inakuaje unampa mtu mali yako ya gharama kwa mali kauli??
Kwa dunia ya mauza uza namna hii..
Sometimes huwa tunakaa na Hawa madogo maskani Wana njaa hawana michogo tunajaribu kuwakwamua kishikaji lakini wanatuliza hata Mimi Iliwahi kunitokea nililizwa na dogo niliyemwonea huruma. Unaweza Kuta mleta mada hakuwa hata na program na pikipiki ila huruma imemponza.
 
Habari viongozi?
Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda.
Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti.
Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana ambae tulikuwa tunakaa nae maskani muda mwingi so tulikuwa tunaprocess hayo mambo huku akiendelea na kazi.
Kaka pikipiki yako inapatikana ila ukubali tu kuigharamia. Ukimpata mwizi wako, atakulipa pesa yote hadi ya usumbufu. Nenda polisi, waombe msaada kwa dhumuni la kumtrack. Polisi watafanya kazi na tigo, watamtrack hata kama anatumia kiswaswadu. Jiandae tu kwa usumbufu, ila utalipwa na faida juu n chombo chako kitarudi
 
Habari viongozi?
Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda.
Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti.
Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana ambae tulikuwa tunakaa nae maskani muda mwingi so tulikuwa tunaprocess hayo mambo huku akiendelea na kazi.
karipoti polisi kwanza ili kujiridhisha 🐒

huenda pia kijana kapata tatizo mathalani ajali, kapoteza cm, cm imeharbika, au yupo mahali hakuna network au kaporwa cm au bodaboda n.k
Mambo ni mengi usihitimisha kwa kuhisi japo inawezekana 🐒
 
Kaka pikipiki yako inapatikana ila ukubali tu kuigharamia. Ukimpata mwizi wako, atakulipa pesa yote hadi ya usumbufu. Nenda polisi, waombe msaada kwa dhumuni la kumtrack. Polisi watafanya kazi na tigo, watamtrack hata kama anatumia kiswaswadu. Jiandae tu kwa usumbufu, ila utalipwa na faida juu n chombo chako kitarudi
Vipi mwizi akiwa Hana kitu??
 
Vipi mwizi akiwa Hana kitu??
At least utaipata pikipiki yako. Kama imeuzwa utampata mnunuzi wa kitu cha wizi. Wote kitu kimoja, kwanza hawa wateja wa vitu vya wizi ndio wabaya zaidi, wametengeneza demand/soko la vitu vya wizi. Wote tia ndani. Kama hawana cha kukulipa, wote tia ndani. Akishindwa kukulipa, ukiamua utawatoa baadae au uwaache waozee jela. Ila most probably, utalipwa fidia n faida. Usiwe n tamaa maana wataozea jela
 
At least utaipata pikipiki yako. Kama imeuzwa utampata mnunuzi wa kitu cha wizi. Wote kitu kimoja, kwanza hawa wateja wa vitu vya wizi ndio wabaya zaidi, wametengeneza demand/soko la vitu vya wizi. Wote tia ndani. Kama hawana cha kukulipa, wote tia ndani. Akishindwa kukulipa, ukiamua utawatoa baadae au uwaache waozee jela. Ila most probably, utalipwa fidia n faida. Usiwe n tamaa maana wataozea jela
hakuna anaenunuanpikipiki bila kadi hiyo labda akaiuze vifaa kama hajapata majanga maana muda mwingine usikute ashatundikwa pikipiki wamechukua wenye ujuaji zaidi
 
Back
Top Bottom