Naweza nikatrack mawasiliano ya simu ambayo nimeongea nayo juzi? Kijana kakimbia na pikipiki yangu toka juzi, hivi sasa hapatikani.

Naweza nikatrack mawasiliano ya simu ambayo nimeongea nayo juzi? Kijana kakimbia na pikipiki yangu toka juzi, hivi sasa hapatikani.

hakuna anaenunuanpikipiki bila kadi hiyo labda akaiuze vifaa kama hajapata majanga maana muda mwingine usikute ashatundikwa pikipiki wamechukua wenye ujuaji zaidi

Kaka Mtandao wa wizi wa pikipiki au Magari hujui unavyofanya kazi,pikipiki inanunuliwa bila kazi wanachezesha TRĄ file mpya inatoka.
 
Mleta mada nicheki PM nikusaidie, ukiwa serious unapata pikipiki yako vizuri.
 
Sometimes huwa tunakaa na Hawa madogo maskani Wana njaa hawana michogo tunajaribu kuwakwamua kishikaji lakini wanatuliza hata Mimi Iliwahi kunitokea nililizwa na dogo niliyemwonea huruma. Unaweza Kuta mleta mada hakuwa hata na program na pikipiki ila huruma imemponza.
Upo sahihi kabisa.
 
Sometimes huwa tunakaa na Hawa madogo maskani Wana njaa hawana michogo tunajaribu kuwakwamua kishikaji lakini wanatuliza hata Mimi Iliwahi kunitokea nililizwa na dogo niliyemwonea huruma. Unaweza Kuta mleta mada hakuwa hata na program na pikipiki ila huruma imemponza.
Kama ni huruma basi pole yake aisee.
 
Simple sana hiyo inawezekana maana hata kama kabadilisha simu fatilieni mawasiliano yake na watu wa ke wa karibu mtamnasa mcha kweupe
 
Kaka pikipiki yako inapatikana ila ukubali tu kuigharamia. Ukimpata mwizi wako, atakulipa pesa yote hadi ya usumbufu. Nenda polisi, waombe msaada kwa dhumuni la kumtrack. Polisi watafanya kazi na tigo, watamtrack hata kama anatumia kiswaswadu. Jiandae tu kwa usumbufu, ila utalipwa na faida juu n chombo chako kitarudi
MWIZI NAE KAKOMENTI, AMEJUAJE KIJANA ANATUMIA TIGO
 
Back
Top Bottom