TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,763
- 1,830
hakuna anaenunuanpikipiki bila kadi hiyo labda akaiuze vifaa kama hajapata majanga maana muda mwingine usikute ashatundikwa pikipiki wamechukua wenye ujuaji zaidi
Kaka Mtandao wa wizi wa pikipiki au Magari hujui unavyofanya kazi,pikipiki inanunuliwa bila kazi wanachezesha TRĄ file mpya inatoka.