TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,763
- 1,830
hakuna anaenunuanpikipiki bila kadi hiyo labda akaiuze vifaa kama hajapata majanga maana muda mwingine usikute ashatundikwa pikipiki wamechukua wenye ujuaji zaidi
Nimekupm.Mleta mada nicheki PM nikusaidie, ukiwa serious unapata pikipiki yako vizuri.
Nimeshakujibu mkuu.Nimekupm.
Upo sahihi kabisa.Sometimes huwa tunakaa na Hawa madogo maskani Wana njaa hawana michogo tunajaribu kuwakwamua kishikaji lakini wanatuliza hata Mimi Iliwahi kunitokea nililizwa na dogo niliyemwonea huruma. Unaweza Kuta mleta mada hakuwa hata na program na pikipiki ila huruma imemponza.
sawaKaka Mtandao wa wizi wa pikipiki au Magari hujui unavyofanya kazi,pikipiki inanunuliwa bila kazi wanachezesha TRĄ file mpya inatoka.
sawaKaka Mtandao wa wizi wa pikipiki au Magari hujui unavyofanya kazi,pikipiki inanunuliwa bila kazi wanachezesha TRĄ file mpya inatoka.
Kama ni huruma basi pole yake aisee.Sometimes huwa tunakaa na Hawa madogo maskani Wana njaa hawana michogo tunajaribu kuwakwamua kishikaji lakini wanatuliza hata Mimi Iliwahi kunitokea nililizwa na dogo niliyemwonea huruma. Unaweza Kuta mleta mada hakuwa hata na program na pikipiki ila huruma imemponza.
Huruma ni kitu kibaya ndo maana hata nikimuona mtu anataabika huwa namwacha ajiookoe mwenyeweKama ni huruma basi pole yake aisee.
MWIZI NAE KAKOMENTI, AMEJUAJE KIJANA ANATUMIA TIGOKaka pikipiki yako inapatikana ila ukubali tu kuigharamia. Ukimpata mwizi wako, atakulipa pesa yote hadi ya usumbufu. Nenda polisi, waombe msaada kwa dhumuni la kumtrack. Polisi watafanya kazi na tigo, watamtrack hata kama anatumia kiswaswadu. Jiandae tu kwa usumbufu, ila utalipwa na faida juu n chombo chako kitarudi
Kwa case ya huruma ya mhanga ni ngumu kusaidia.Huruma ni kitu kibaya ndo maana hata nikimuona mtu anataabika huwa namwacha ajiookoe mwenyewe
Ndo ivoKwa case ya huruma ya mhanga ni ngumu kusaidia.