Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Huwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
Mazoezi tena apandishe mapigo ya moyo?
 
Kaka hbr nimepata shida Kama yako aisee naomba unisaidie namba au nibp 0752468231 Kuna vtu nataman kukuuliza
 
Mkuu nina uzito wa kilo 58kg nina normal BMI kabisa

Kilo 58 ni Uzito mdogo sana kwa kijana wa kiume wa miaka 24 unatakiwa wakau 68 kilo.

Madhara yake unakosa misuli ya kutosha ikiwemo misuli ya viungo muhimu kama moyo.

Hii inapelekea moyo kujaribu kufanya kazi yake kwa ziada zaidi na kusababisha heart conditions.

Ulaji wa chakula bora kilicho na virutubisho vyenye afya inatakiwa. Maana unaweza kuonekana kimbau mbau lakini umejaa mafuta badala ya misuli na haya mafuta yanamadhara katika mishapa ya damu na moyo.

Pamoja na kumuona daktari pia umuone mtaalamu wa lishe nutritionist akushauri upande wa lishe.
 
We umerogwa fanya mpango uende kupata maji na futa...halafu utajisaidia mjusi halafu utapona.... 🤑🤑😝😝🥶🥶🤯💘🤡🦻🦻
 
Mimi nashida kama yako nimepima sana moyo echo esg lakini naambiwa Niko fiti lakini mwili unachoka natetemeka sana mikono na miguu na kizunguzungu sana kichwa kuuma mwili kuchoka wasiwasi hofu tunaombeni ushauri jamani mtu saidie hospital tumechoka kupima Kila siku
una uzito mkubwa? msongo wa mawazo je? vyakula unavyokula ni vipi?
 
Umejitahidi kuelezea vizuri ila
1.unajuaje kama hapo unapovuta source yake ni moyo
Unapata maumivu upande wa kushoto wa kifua? Na je kifuani pekee au na sehemu zingine za mwili mf bega na mkono
Isije kuwa unachanganya maumivu ya kiungulia(heart burn) na maumivu yanayotokana na kupungua kwa oksijeni kwenye misuli ya moyo(angina)

2.kwa vipimo ulivyofanya ECG imesema abnormal ECG
Haijatoa detail za kila phase ya mzunguko wa umeme kwenye moyo wako
Hii taarifa ni muhimu ukizingatia ndo kipimo ambacho kimeonesha tatizo ni nini

Ushauri
Bado swala lako linahitaji kufanyia more evaluation kwasababu visababishi vya tachycardia(mapigo ya moyo kwenda kasi tofauti na kawaida) ni vingi ikiwemo

Matatizo kwenye tezi muhimu za mwili
Mf thyroid,adrenaline
Stress&anxiety

Jitahidi uonane na mtaalamu wa maswala ya moyo(cardiologist) kama tayari ushamuona mtaalam wa magonjwa ya ndani (physician)
Mkuu master besheni inaweza kusababisha moyo kwenda mbio na mwili kuchoka kizunguzungu presha kupanda
 
Back
Top Bottom