Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Wakuu, mimi nasumbuliwa na Left ventricular hypertrophy, imesababishwa na high blood pressure.. kwa muda sasa natumia propranolol na kwa kiasi chake imenisaidia kupunguza symptoms. Swali langu ni je, huu ugonjwa wa moyo unapona na kama ndio, unachukua muda gani kupona ?
 
Wakuu, mimi nasumbuliwa na Left ventricular hypertrophy, imesababishwa na high blood pressure.. kwa muda sasa natumia propranolol na kwa kiasi chake imenisaidia kupunguza symptoms. Swali langu ni je, huu ugonjwa wa moyo unapona na kama ndio, unachukua muda gani kupona ?
Pole sana mkuu. Ugonjwa wa moyo unatibika vizuri tu na unapona kabisa
 
Huwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
Hakika akizingatia hata anamalizana na tatizo, hii hata ilishanikuta ni kwa advance nikapitia hizi na sa hivi nishasahau tatizo lenyewe
 
Pole sana kiongozi,
Mungu yupo utapona faata ushauri wa madaktari tu.
 
Back
Top Bottom