Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Huwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
 
Je mkuu nawezaje kuacha kama kuna mbinu maana nimefatilia reviews nying sana za watu waliotaka kuacha hizi dawa ila naona wengine huwa wanaishia kufariki, icho ndio kinanitisha mkuu.
Wewe moyo unauma? Moyo unaenda mbio ata Kama hufanyi kazi yoyote, je kufanya sex inakuletea shida? Na je mkono wa kushoto, bega na Mbavu haviumi?
 
Dah, Mkuu Yaani Unaongelea Mambo Ya kitaalamu deep sana Chimbuchibu huko ...Sisi JF members Ushatuacha..na Kutuchanganya..

Sasa Hapo sisi tukushauri nini.? Hivi kuna Mtu anajua Sinus na tachycardia ndo nini.?
Watu Watazunguuka wee Lkn Watakuja kwenye Ushauri huu ' Waone Wataalamu' .
Kuna Jamaa Anaitwa JANABI pale JAKAYA Muhimbili hayo Ndo Mambo Yake Hayo..Ushamtafuta?
 
Mwisho
inamaanisha kama shida ni sinus tachycardia naweza nikaishi bila hizi dawa mkuu? Maana watu wengi wamekua wakinambia kua ni ngumu kuacha.

Si rahisi kulisemea hilo, mpaka ufanyiwe vipimo zaidi na kufikia mwafaka wa nini zaidi kinacholeta haya yote.

Zaidi ya hapo ni kurusha jiwe gizani, hutaweza kujua utasaidika na lipi hasa.

Kuhusu shida nini?
Matatizo mengine yanaweza kujitokeza kwa mtu binafsi kama ilivyoelezwa kule juu, bila kufuata mfumo wa kurithi ki-ukoo.
 
Habari, pole kwa kuumwa.
Kwenye suala lako, bado naona kulikuwa na nafasi ya kujua hii sinus tachycadia inasababishwa na nini:
1: mis-behaving ya sinus yenyewe?
2: lifestyle kama: matumizi ya kahawa, anxiety, stress??
3: kitu kingine nje ya moyo kama hormones: thyroid/adrenaline nk.

Kama ni 2 na 3, vinaweza kuwa controlled na kuwa sawa na kuacha dawa.

Kama ni 1 hapo juu, inategemea na kiasi cha tachycardia/kiasi cha kasi yenyewe, kwani kama inafikia kupata maumivu na kuchoka/kizunguzungu. Hii inaonyesha kuna wakati moyo haupati sukari na oxygen ya kutosha ndo maana misuli ya moyo inalalamika kwa hayo maumivu, ambacho si kitu kizuri pia viungo vingine kutolishwa vyema.

Ombi langu ni kuwaona Cardiologist ambao ni very experienced ili upate mawazo yao hata kama ni zaidi ya wawili.

Wakati mwingine unaweza kufanya vipimo, unaenda navyo kwa specialist zaidi ya mmoja na kupata mawazo yao na kulipa consultation tu kama kuna ugumu kwenye kurudia vipimo.

Mwenyezi Mungu akusimamie katika yote.
Exactly, possibly a systematic cause.
 
Huwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
Kuwa makini unapomshauri mtu mwenye shida ya moyo kuhusu mazoezi, Kuna wengine mazoezi hayaruhusiwi kbs inategemea na tatizo na stage lilipofikia, Kuna watu hufa ghafla mazoezini.
 
Huwezi acha. You are in forever. Huo ni ugonjwa sugu. Sio malaria utakunywa dawa upone.
Jiandae kunywa hizi dawa maisha yako yote.
Mimi pia nilikutwa moyo unadunda Sana kuliko kawaida,nikaandikiwa dawa hata sikumaliza dozi na ilikuwa Mwaka Jana mpaka Leo nadunda
Doc alishauri niache kuwaza
 
Habari, pole kwa kuumwa.
Kwenye suala lako, bado naona kulikuwa na nafasi ya kujua hii sinus tachycadia inasababishwa na nini:
1: mis-behaving ya sinus yenyewe?
2: lifestyle kama: matumizi ya kahawa, anxiety, stress??
3: kitu kingine nje ya moyo kama hormones: thyroid/adrenaline nk.

Kama ni 2 na 3, vinaweza kuwa controlled na kuwa sawa na kuacha dawa.

Kama ni 1 hapo juu, inategemea na kiasi cha tachycardia/kiasi cha kasi yenyewe, kwani kama inafikia kupata maumivu na kuchoka/kizunguzungu. Hii inaonyesha kuna wakati moyo haupati sukari na oxygen ya kutosha ndo maana misuli ya moyo inalalamika kwa hayo maumivu, ambacho si kitu kizuri pia viungo vingine kutolishwa vyema.

Ombi langu ni kuwaona Cardiologist ambao ni very experienced ili upate mawazo yao hata kama ni zaidi ya wawili.

Wakati mwingine unaweza kufanya vipimo, unaenda navyo kwa specialist zaidi ya mmoja na kupata mawazo yao na kulipa consultation tu kama kuna ugumu kwenye kurudia vipimo.

Mwenyezi Mungu akusimamie katika yote.
Better aanze na physician kabla ya kumwona cardiologist au kama case yake inaweza kujadiliwa kwenye panel ya wataalamu maana it seems to be multidisciplinary.
 
Huwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
Weight yangu ipo normal kabisa sio kubwa wala sio ndogo mkuu na matumizi ya chumvi nimepunguza kabisa wala siongezi chumvi yoyote.

Mazoezi huwa nafanya kidogo mda mwingine nacheza mpira kabisa

Matunda huwa natumia hasa ndizi, parachichi ila niligoogle wanasema matunda yenye potassium kwa wingi kama ndizi, parachichi hayafai kutumia wakati unatumia hizi dawa za beta blocker sasa hapo pia nimepata mtihani, Maana nilimuuliza dokta akanambia nitumie tu

Chipsi kwa kweli situmii kabisa sahiv na hata nyama ya ng'ombe nayo nimepiga chini
 
Cardiovascular diseases haipata na Chumvi, ndo maana wanaotiwa nje ya nchi uwa wanakatazwa Chumvi kwa mwaka mzima, madaktari wa Bongo hawakataz
Bongo napo jau ila dokta amenisistiza niziache hizi dawa lakini hajanipa njia ya kuacha mkuu.
 
Pole sana mkuu embu jaribu kutafuta experienced cardiologist wa nje wakupe guidance!
Ahsante sana mkuu maana sometimes dokta huwa nikimwambia mbona tatizo la moyo kuvuta halijaisha yeye ata take easily tu maana mpaka sasa sijatibu tatizo
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Mimi pia nilikutwa moyo unadunda Sana kuliko kawaida,nikaandikiwa dawa hata sikumaliza dozi na ilikuwa Mwaka Jana mpaka Leo nadunda
Doc alishauri niache kuwaza
Ulifanya vipimo mkuu ? na uliandikiwa dawa gani.
 
Si rahisi kulisemea hilo, mpaka ufanyiwe vipimo zaidi na kufikia mwafaka wa nini zaidi kinacholeta haya yote.

Zaidi ya hapo ni kurusha jiwe gizani, hutaweza kujua utasaidika na lipi hasa.

Kuhusu shida nini?
Matatizo mengine yanaweza kujitokeza kwa mtu binafsi kama ilivyoelezwa kule juu, bila kufuata mfumo wa kurithi ki-ukoo.
Hapa nilipo nina mpango nirudie hata vipimo vyote vya moyo maana sielewi mkuu.
 
Ulifanya vipimo mkuu ? na uliandikiwa dawa gani.
Ndio nilipimwa tatizo nimesahau jina la vipimo na jina la dawa,but kipimo kimoja unawekewa waya miguuni mpaka kifuani na kingine Kama utrasound hivi
But wewe nakushauri nenda Hospital kubwa Sana
 
Back
Top Bottom