juliusemassesa
Member
- Aug 26, 2016
- 72
- 37
Kweli majibu yake kana kwamba yeye ataishi milele aseeAcha masikhara kwamba mleta mada alishakufa!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli majibu yake kana kwamba yeye ataishi milele aseeAcha masikhara kwamba mleta mada alishakufa!!??
hapana sio ugonjwa sugu wala hata psychotherapy inatibu vitu vya namna hiiHuwezi acha. You are in forever. Huo ni ugonjwa sugu. Sio malaria utakunywa dawa upone.
Jiandae kunywa hizi dawa maisha yako yote.
zingatiaHuwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
kama kuna hizi dalili ni nn maanakeWewe moyo unauma? Moyo unaenda mbio ata Kama hufanyi kazi yoyote, je kufanya sex inakuletea shida? Na je mkono wa kushoto, bega na Mbavu haviumi?
zingatiaKuna kitu sijaona majibu yake hapo kutokana na tatizo lako 1.BMI, 2.BP 3.Mapigo ya moyo na 4.Vipimo vya sukari ,pia muhimu kuacha vifutavyo kwa sasa,Chumvi,Pombe,Sigara, au kilevi chochote kile,Hasira ,vinyongo-kutosamehe watu,vitu vya mafuta,junk foods,vitu vya sukari nyingi kama soda na chocolate.Ukiweza kumudu hivyo kwa mwezi mzima nenda kacheki tena vipimo vyako.Hiyo Nebivolol unayotumia umesema ni nusu kidonge bado ni dose ndogo sana ingawa sijajua unatumia za miligram ngapi,kama ni za 5 mg,bado ni dose ndogo.Kwenye swala la kuacha pia huwezi kuziacha haraka ki hivyo utatakiwa kuziacha kidogo kidogo sana.Kama utaona vipimo vyako vyote viko normal na bado tatizo linaendelea mgeukie Mungu ufanyiwe maombi,wakati mwingine inaweza kuwa ni maroho yamekuvamia ndio yanayokutesa...
Hapa ndio pana diagnosis ya tatizo la mtoa mada,mtoa mada mwenyewe yupo hai ?1.ECG ( Bordeline Abnormal ecg
Fast heartbeat at rest sio good signkama kuna hizi dalili ni nn maanake
Alikuambia hivyo?**** daktar wa Benjamin mkapa kitengo cha moyo hovyo sana mtu shida ni mapafu anakuambia unaumwa moyo
Alikuambia hivyo?
duuNdio kumbe tatizo mapafu nikaenda hospital nyingine nilikuwa nashindwa pumua na mim na moyo kwenda mbio
Nikaambiwa mapigo ya moyo hayapo sawa nikapewa dawa za kupangilia mapigo ya moyo nilikunywa weee siponiii dawa za kuyeyusha damu wapi
Hospital nyingine nikakutwa shida mapafu nikapewa ibrufen za siku tano nikapona
masterbation inauhusiano gani mkuu na sex je afanye... Lukaku marataAcha kutumia kahawa,Pepsi,Coca-Cola,masterbation,mafuta mengi na huwe unafanya mazoezi
Pole sana hebu nipm tuongee maana nakupm inagomaNdio kumbe tatizo mapafu nikaenda hospital nyingine nilikuwa nashindwa pumua na mim na moyo kwenda mbio
Nikaambiwa mapigo ya moyo hayapo sawa nikapewa dawa za kupangilia mapigo ya moyo nilikunywa weee siponiii dawa za kuyeyusha damu wapi
Hospital nyingine nikakutwa shida mapafu nikapewa ibrufen za siku tano nikapona
NishakupmPole sana hebu nipm tuongee maana nakupm inagoma
Mkuu nina uzito wa kilo 58kg nina normal BMI kabisa. Kuhusu energy sijawah kutumia kabisa pia kwa sasa natumia propranolol ila nimepima tena nimeamkutuma moyo upo vizurduu pole mkuu ulaji wa kitunguu swaumu hushusha presha kama ni presha ya kupanda,
una uzito kiasi gani? maozezi umeacha?
ulishawahi kunywa energy drinks? kahawa au vinywaji vya kafeini vipi?
nina wasiwasi hata wanawake huwafikirii kutokana na tatizo ulilonazo....
Mkuu nipo kwa sasa natumia propranolol maana daktari ameaniambia nina anxiety disorder. pia nilipima vipimo upya vya ECHO na ECG, kwa ECHO kipimo kimesoma Normal echo na ECG pia kimeandika normal sinus rythm japo kuna high voltage kwenye left ventricular so ECG Result analysis ni Borderline AbnomalHapa ndio pana diagnosis ya tatizo la mtoa mada,mtoa mada mwenyewe yupo hai ?
Ndugu mtoa mada tunakuomba kama upo uje hapa utupe mrejesho