Nawezaje kuacha uvivu?

Nawezaje kuacha uvivu?

Samahanini nipo nje ya mada ila hilo ni jambo zuri pia

KAMA UNATUMIA TIGO BORA UTOE 40K ILA UOKOE HELA UNAZONUNUA DATA&DK KWA MIAKA 2 (GB48 KILA MWEZ+DK 2000)*

Watumiaji wa tigo njoo nikuunge huduma hii uwe unapewa gb 48 na dk 2000 kila mwezi kwa miaka miwili, huduma hii sahivi unaungwa pekeyako na sio kikundi.

Uhakika na usalama wapesa yako ni 100% mana hela unailipa direct Tigo kama unavyojiunga na vifurushi vingine, mm nakupa maelekezo tu ya kujiunga, ( ukijiunga nalipwa na tigo ).

kama ukitaka kujiridhisha nikishakupa maelekezo unaweza kupiga 100 uulizie ujiridhishe kabla ya kulipia.

PIA KUNA GB35+1000DK KILA MWEZ KWA 30K, MUWE WATU WAWILI.

HUNITUMII HELA YOYOTE HATA MIA!

Karibu hata uniulizie tu nikupe maelekezo bure!

KAMA UKITAKA TUKUTANE TUFANYE KAZI LIVE PIA INAWEZAKANA

NITEXT WHATSAPP

0717700921
Kwa nini usiweke hayo maelekezo hapa jukwaani? Acha utapeli
 
Mnaonaga sifa kusoma mawazo na vitabu vilivyoandikwa na wanaume wengine?

Kwanini usipambanue fikra zako binafsi?
Unaamka asubuhi unapiga mswaki uliotengenezwa na wanaume wengine, unavaa nguo zimetengenezwa na wanaume wengine, hata iyo simu unayotumia kujionesha jinsi ulivyo na fikra duni wametengeneza wanaume wengine. Huna hata kimoja unachotumia ulichotengeneza wewe na hakuna anayekulaumu wala kukuambia unaona sifa kutumia bidhaa walizotengeneza wanaume wengine.
Pathetic.
 
Samahanini nipo nje ya mada ila hilo ni jambo zuri pia

KAMA UNATUMIA TIGO BORA UTOE 40K ILA UOKOE HELA UNAZONUNUA DATA&DK KWA MIAKA 2 (GB48 KILA MWEZ+DK 2000)*

Watumiaji wa tigo njoo nikuunge huduma hii uwe unapewa gb 48 na dk 2000 kila mwezi kwa miaka miwili, huduma hii sahivi unaungwa pekeyako na sio kikundi.

Uhakika na usalama wapesa yako ni 100% mana hela unailipa direct Tigo kama unavyojiunga na vifurushi vingine, mm nakupa maelekezo tu ya kujiunga, ( ukijiunga nalipwa na tigo ).

kama ukitaka kujiridhisha nikishakupa maelekezo unaweza kupiga 100 uulizie ujiridhishe kabla ya kulipia.

PIA KUNA GB35+1000DK KILA MWEZ KWA 30K, MUWE WATU WAWILI.

HUNITUMII HELA YOYOTE HATA MIA!

Karibu hata uniulizie tu nikupe maelekezo bure!

KAMA UKITAKA TUKUTANE TUFANYE KAZI LIVE PIA INAWEZAKANA

NITEXT WHATSAPP

0717700921
Hata mje na gia namba ngapi hamuwezi nipata!!
Utapeli wa kitoto sana jaribuni ku u update
 
Unaamka asubuhi unapiga mswaki uliotengenezwa na wanaume wengine, unavaa nguo zimetengenezwa na wanaume wengine, hata iyo simu unayotumia kujionesha jinsi ulivyo na fikra duni wametengeneza wanaume wengine. Huna hata kimoja unachotumia ulichotengeneza wewe na hakuna anayekulaumu wala kukuambia unaona sifa kutumia bidhaa walizotengeneza wanaume wengine.
Pathetic.
Hahaha mkuu jipu
 
Tuko pamoja mkuu
Binafsi ni mvivu wa majukumu ya kazini na shughuli zingine

Kwa sababu mwisho wa siku lazima kazi zifanyike nimejiwekea utaratibu wa kutolaza kazi

Kauli ya nitafanya badae itoe kwenye ratiba yako,hata kazi ikiwa ndogo namna gani usisubiri kesho
Unavyoziacha ndogo ndogo zinaongezeka na kuwa nyingi
Hii ni kweli
 
Kwanza elewa sababu za kuwa mvivu kwenye majukumu yako ya kila siku.
Hapo inaweza kuwa
1.Hupendi unachofanya
(Kama hupendi unachofanya basi anza taratibu kubadili hicho unachofanya na kutafuta kitu unachokipenda zaidi na ukifanye na achana na hicho unachofanya sasa)

2.Au una hali ya kughairisha kazi au majukumu.
(Hii kuiondoa unatakiwa ujitathimini jievaluate kila siku kabla ya kulala chukua peni na karatasi then andika kila lisaa tokaa umeamka umefanya nini then angali ulifanya kazi yaani productivity kwa muda gani na muda gani ulipoteza anzia hapo kubadilika hofia feature
Unafaa kuwa mke kabisa. Wife material huwa wapogo namna hii.
wa kiume
 
Tuko pamoja mkuu
Binafsi ni mvivu wa majukumu ya kazini na shughuli zingine

Kwa sababu mwisho wa siku lazima kazi zifanyike nimejiwekea utaratibu wa kutolaza kazi

Kauli ya nitafanya badae itoe kwenye ratiba yako,hata kazi ikiwa ndogo namna gani usisubiri kesho
Unavyoziacha ndogo ndogo zinaongezeka na kuwa nyingi
Ni kweli kabisa. Hii huwa inanigharimu kwenye kurundika nguo chafu....... Huwa inafika hatua najikuta nimechafua nguo zote.... Shughuli pevu kwenye kuzifua..... Sasa hivi kila baada ya siku mbili lazima nizame Laundry baada ya saa za kazi
 
Unaamka asubuhi unapiga mswaki uliotengenezwa na wanaume wengine, unavaa nguo zimetengenezwa na wanaume wengine, hata iyo simu unayotumia kujionesha jinsi ulivyo na fikra duni wametengeneza wanaume wengine. Huna hata kimoja unachotumia ulichotengeneza wewe na hakuna anayekulaumu wala kukuambia unaona sifa kutumia bidhaa walizotengeneza wanaume wengine.
Unafaa kuwa mke kabisa. Wife material huwa wapogo namna hii.
Kwa nini unataka kuuacha uvivu? Tuanzie hapo kwanza.
kiongoz kwanini uko hivyo
 
Mimi kazini ni mvivu lkn deadlines huwa hazinipiti asee
 
Back
Top Bottom