Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Away ndio wale mnabaki kuchezea mabanzi ndani we nimejitunza alafu unipe shida
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia...
Nenda dawati la jinsia.
 
Yanni nimecheka kidogo nilie.Ila inasikitisha sana mkuu,Sasa Huyo nyumbu na wewe mpige picha akiwa kalala ndude zipo wazi halafu mwambie akirudia unampelekea lokole,akirudia njoo nikurudishie bando lako
 
Pole sana...

Mshitaki huyo kuwa anakulazikisha kufanya na anakutisha kuonyesha picha zako za utupu..

Omba Toba na Rehema kwa Mungu kwa ajili yako na kizazi chako...
Ashitaki na wakati alikubari
 
Pambana naye "kiume"!
 
Kizazi cha sodoma na gomora kinawadia. Fedheha kubwa sana hii.
 
Mnywaniii miss you! Mpaka naumwaa.

Unaendeleaje nyakibimbirii uko.

Karibu Sana itobo_mboka;tule matoborwa na maparage aise
Niko vyedi sana mnywanii miss you much more!!!

Ntakibooo tuko njema sana niwekeee soon ntatia timu hapooo!!
 
Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?
Sasa utapambana nae vp kiume wakati we ni mwanamke?!!!

Mbona kuna matatizo mawili nawe umelisema moja tu? Hilo la kuchepuka vp, hutaki ushauri?!!
 
Mleta mada amekosea maishani mwake na amejitahidi kueleza alivyo sasa wanajamii mumpe ushauri wakitabibu or saikologia ili aache hizo tabia but wengi mnamdhihaki nakuchambua upungufu wake eleweni mada,she needs treatment sio kimharasi
 
Kama umeamua kuacha , simama Imara ... Acha!
Sijaona ukizungumzia ndoa!?!!!
Kama hamna nroa hiyo kakufanya msukule ..kimbia ,muda bdado unao!
 
Maisha ni cycle
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia...
Hama mkoa kama shughuli zako zinaruhusu. Then kata mawasiliano nae. Jizoeze kufanya vitu vingine. Jitibu majeraha then uta move kivingine.

Utapopata mpya ridhika ktk njia ya kiroho. Sali sana kwa dhebu lolote ulilonalo na mtegemee Mungu. Mungu hajawahi shindwa.
 
Huyo jamaa atakuwa ana hela na cheo kikubwa sana mwanamke anavyoringa hawezi kubali kufanyiwa ujinga huo na kapuku.
 
Yaani umefanya hadi nimedinda!

Achana na huyo kobe
Nipe na mimi kidogoo
Afu tunaendelea na k kidogoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…