Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
BAdo haitoshi.Fanya TOBA. Itakuwa umemaliza kila kitu.
Toba haiondoi muwasho na mshawasha wa kutamani kuchokonolewa.
NB: nasikiia huwaga wana washwa washwa wakianza kuliwa ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAdo haitoshi.Fanya TOBA. Itakuwa umemaliza kila kitu.
KhakhaaMiaka 8 iliyopiga ulikuwa na miaka 55 hii Ina maana kuwa sahivi una miaka 63-64 Bibi embu nenda taratibu mbn tu naelewa tuView attachment 2815461
duh wana kwa kufukua makaburi mpo vizuri aseMiaka 8 iliyopiga ulikuwa na miaka 55 hii Ina maana kuwa sahivi una miaka 63-64 Bibi embu nenda taratibu mbn tu naelewa tuView attachment 2815461
Upe vidonge vyakeUlitakiwa uachane naye Ile siku aliyokuomba akuingilie kinyume.....
Sasa mkiachana unataka ukawe na Nani? Yaani mkaka wa watu ajitunze, hajui na hajawahi Kula kisamvu ndo unataka ukaanze nae mahusiano halafu umfundishe tabia mbaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Inauma.
Waliosema mabinti tujitunze hawakuwa wajinga kumbe.
Mshamuona Mungu kama babu yenu sio!!?Pole sana...
Mshitaki huyo kuwa anakulazikisha kufanya na anakutisha kuonyesha picha zako za utupu..
Omba Toba na Rehema kwa Mungu kwa ajili yako na kizazi chako...
jinsia yako kwanza >?maana mji ushachafuka huuHabari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.
Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.
Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.
Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.
Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.
Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.
Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.
Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).
Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?
Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
ChaiMsaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume?
Oyaa😅Ewe mtoa mada mfate pm Mzee wa kupambania atakupa msaada wa hali na mali kwenye hili tatizo lako
Halafu akatae mahusiano ni utapeli😀aisee, pole
kapime HIV kwanza
LGBTQI mko kazini kutangaza kazi zenu kwa vistori vya kuunga unga na kutunga.Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.
Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.
Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.
Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.
Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.
Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.
Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.
Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).
Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?
Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
Ni lgbtqi hawa wanaeneza hizi hisai ili baada ya muda hali hizi za ufirauni zionekane ni jambo la kawaida.Nakuhurumia ila....
1. Hili limekaa kama tangazo hivi........
2. Kama ni kweli basi ni kama unampenda jamaa hivi....
Kwani humu mmekuaje Wiki hii mbn kunanuka shombo ya mavimavi tu humu uyu nae tnHabari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.
Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha...
Duh aseeeee bahat yakeKwahyo sikuhizi ndo mmeamua kutatuliwa marinda tu ovyo ovyo, Sawa bwana we endelea, kinyago ulichokichonga kamwe hakiwezi kukutisha,Usituchoshe.