Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Ok, sawa naomba nikushauri kiprofessional sasa mimi kama [mention]Mr Chromium [/mention]

Huyo jamaa ni manipulator kwanza ufahamu!!
Na mtu wa hivo hutafuta kitu unachokihofia ndio hukushika nacho mateka!!…Ashajua unahofia kudharirika ndio hofu yako kwaiyo anatumia hiyo kuendelea kukushikiria mateka!!

Cha kufanya
1.Anza naww blame game : Kumuonesha yy ndio mbaya , anza kumlaumu kama analewesha watu kisha anawaingilia kinyume na maumbile,,, anza kumtishia kumchafua kwa tabia yake hyo kama anamke mtishie pia, watoto au familia yake ( Lakini usiingie kwene vita kabisa kama huna mabavu)

2.Nenda polisi dawati la jinsia andika shtaka kwamba alikurubuni na kukuingilia na analazimisha kuendelea kukuingilia na kukutisha (Andika shitaka si kwa ajili ya kumkamata kwa ajili ya tahadhari na kujilinda) hawa wapo kwa ajili ya GBV gender based violance (hyo n moja wapo) kwaiyo kama atajaribu kufanya chochote kile unaenda kuiamsha hii kesi

3.Kuwa tayari kupoteza kila kitu

“Kati ya vitu hatari duniani ni mtu”
Mtu yyte anayekutisha ni kwasababu anajua unaogopa kupoteza kitu kamwe hawa MANIPULATOR hawaendi kwa mtu mwenyewe haogopi kupoteza kitu
Marketing skills yako ipo juu sana, hongera. Ni dm namba yako napenda sana vichongeo.
 
Huyo mume unaishi naye kwenye ndoa au ni mahusiano???

Kama ni mahusiano basi hakuna haja kumlaumu mtu maana uliyetaka mwenyewe. Unakutana tu na mwanaume njiani hujui tabia zake, hujui Ndugu zake wana vinasaba GANI??, hujui ana maradhi GANI?? Wewe unaanzisha nae safari ya mahusiano mpaka mnafikia hatua ya kUZINI maana yake hayo mahusiano umeyafurahia mwenyewe.

So hakuna mtu wakukushauri kitu ambacho umekitafuta mwenyewe na kukuumiza mwenyewe acha ulimwengu uku funze
 
Asome Zaburi ya 51 kwa kumaanisha, na Kisha aombe tu kwa kusema Yesu naomba Toba na Rehema kwa kuwa nilikuwa nafanya anataja ... naomba unirehemu maana neno lako linasema katika 1wakorintho 6:9 kuwa wafiraji hawataurithi ufalme wa Mungu naomba Leo unirehemu Mimi na kizazi changu utuondolee uovu huu, ututakase kwa damu yako...

Aombe mpaka apate amani moyoni...

Kwa muendelezo Kila siku
Nyongeza.

1. ajutie kwa dhati juu ya dhambi hio.

2. aweke mkata na M/Mungu kuwa hatorudia dhambi hio

3. akemee na arekebishe kila maovu ya dhambi hio. (Iwe kwa mkono, ulimi na akishindwa akemee moyoni).

NB: Kama ni tangazo, basi lolote baya limkute muhusika.
 
Mhmm!! Yani pamoja na kufanyiwa hayo bado ukaenda na kuchepuka na kuwalazimisha hiyo michepuko ikufanyie usodoma zaidi???
Halafu ndo unataka uache?? Uko serious kweli? 🤡

Hebu baba mtumishi pitia hapa uniambie ni hii kesi utaamua vipi Tlaatlaah
Mtumishi Mama mchungaji Lamomy kipenzi changu,

hebu ñjoo inbo mara moja....
Hili bila maombi na maombezi ya kilo ni ngumu kulielewa na kuiona suluhu ya amani na uhakika, kwasbabu maelezo ya kujitosheleza juu ya hili hatunayo na kwahivyo hatutaweza kufikia muafaka wenye Baraka za Mungu au kutoa hukumu ya ya haki ispokua, tutachochewa na kusukumwa na mihemko, jazba na uonevu dhidi ya pengine asiestahili...
Amen....
Kwako Mama mchungaji...
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.

Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.

Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).

Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?

Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
Pole sana dada.

Achana nae,mwambie basi mahusiano,hautaki dhambi tena.

just simpel
 
Nyongeza.

1. ajutie kwa dhati juu ya dhambi hio.

2. aweke mkata na M/Mungu kuwa hatorudia dhambi hio

3. akemee na arekebishe kila maovu ya dhambi hio. (Iwe kwa mkono, ulimi na akishindwa akemee moyoni).

NB: Kama ni tangazo, basi lolote baya limkute muhusika.
Aimen
 
Mtumishi Mama mchungaji Lamomy kipenzi changu,

hebu ñjoo inbo mara moja....
Hili bila maombi na maombezi ya kilo ni ngumu kulielewa na kuiona suluhu ya amani na uhakika, kwasbabu maelezo ya kujitosheleza juu ya hili hatunayo na kwahivyo hatutaweza kufikia muafaka wenye Baraka za Mungu au kutoa hukumu ya ya haki ispokua, tutachochewa na kusukumwa na mihemko, jazba na uonevu dhidi ya pengine asiestahili...
Amen....
Kwako Mama mchungaji...
Nakuona unakwepa naomba toa ushauri km uliotoa kule kwa yule firauni mwingine 😂😂😂
 
Kiutaratibu mwanamme anatakiwa akuzidi umri, nashangaa unavyosema hukujali hilo.
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.

Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.

Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).

Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?

Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
Upambane naye kiume!!!??? Mpaka hapo hii ni CHAI ma wewe ni mchicha mwiba (SHOGA)
 
Nakuona unakwepa naomba toa ushauri km uliotoa kule kwa yule firauni mwingine 😂😂😂
Mama mchungaji kipenzi changu mtumishi Lamomy

Hili nilishalitolea ushauri mujarabu mapema sana, labda nirudie tena na kuongeza kidogo....

Kwanza lazma uelewe bila chembe ya shaka anaekuingilia kinyume cha maumbile hakupendi na hana upendo na wewe hata kidogo kama chembe ya haradali.Huyu ni adui mkubwa wa utu, afya, utakatifu na zawadi ya Uhai aliokujalia Mwenyezi Mungu...
Hilo la kwanza....

Jambo la pili,
kuingiliwa kinyume cha maumbile kwa wana ndoa ni sababu toshelezi kabisa isiyo na shaka ya kutenguliwa kwa ndoa.
Kwasbabu tutapitia vipimo vya afya na kuthibitisha uharibifu huko nyuma na ikithibitika pamoja na maelezo ya wahusika, basi ndoa ile itatenguliwa bila tashwishwi wala wasiwasi wowote na kanisa, msikiti au mahakamani.....

Ushauri wangu kwa bidada huyu mpendwa ni wa wazi kabisa kwenye point yangu ya kwanza. Aachane na huyo firauni asiejali utu wake na anaeharibu afya na kuhatarisha Uhai wake..

Kwako Mama mchungaji....
 
Back
Top Bottom