Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Sema kuacha hako ka mchezo mdada akishazoea mmmh sijui kama utaweza lakini ukiamua utaweza.

Una watoto? amini nakwambia Sex hata kama utafanya kawaida haitokua Burudani tena kwako.

Mwanaume hata akipitisha tu mboo juu ya mchirizi kuelekea kwenye K utahisi anataka kukufira... akikuchezea K akigusa tu area ya tigo utahisi anataka kukufira...

Ki ufupi mapenzi kwako yatakua burudani yenye kasoro hutofurahia tena mapenzi nakuona namna unavyoenda kuyapotezea mapenzi yani nakuona kabisa.

utaweza yafurahia mapenzi kama TU utafanikiwa kumbadilisha mwanaume wako huyo huyo aache hiyo tabia na uendelee nae. Otherwise Sex haitokua tena kitendo kizuri kwako.

ni kama walevi tu wanakunywa ila kuna limit wakifika hawaendelei wanaogopa, ndio wewe sasa
Mmh hayo ya ndani hivyo umeyajuaje?
We ni ke pia?
Au Me uliyestaafu
 
Speechless !!.
Comment yangu imegusa weak spot yako hadi umeshindwa kujizuia kutapika. pure fact, anal sex nishatumia that's why nimejua na wewe ni mdhoefu tuuuuu but I'm not desperate kutafuta wanaume jf especially walio mentally and emotionally weak like you. Guy don't spit your bitterness on me, sijakuumiza dearest
Maeneo yote yanayohusisha story za watu kuliwa TIGO hukosekani, anyway dhambi yako ulishatubu sikuhukumu kwa hilo,its your past uko na experience nayo.

Lakini usipende sana kuquote watu wengine hta kama kilichoandikwa kimekufurahisha au kukukera.

Jifunze kutumia reactions n msg tosha ila hizi quote quote utafukuliwa makaburi yako uanze kusema unahukumiwa.. behave to kama msomaji wa kimya kimya..

ukisikia hamu ya ku comment,do it on a plain wall usitumie quote wala ujumbe wa mtu hautokaa ugombane au upishane kauli na yeyote humu.

Hayo Tu.
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.

Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.

Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).

Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?

Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
Kiingiliwa kinyume na maumbile ni kosa na sababu muhimu na yakutosha kuvunja ndoa au uhusiano whether ni kanisani, msikitini au mahakanani....
 
Naona ushauri mwingi ni wa kumkimbia huyo mwamba, hivi mnajua wanaume wanaojua kuganda kama luba...

Sasa ndo huyo mwamba, atamfuata popote alipo...

'Kisamvu cha kopo' ni sumaku... inasemekana. 😎

-Kaveli-
 
Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.
Hapo huna cha kumlaumu
 
Ulitakiwa uachane naye Ile siku aliyokuomba akuingilie kinyume.....

Sasa mkiachana unataka ukawe na Nani? Yaani mkaka wa watu ajitunze, hajui na hajawahi Kula kisamvu ndo unataka ukaanze nae mahusiano halafu umfundishe tabia mbaya🤣🤣🤣 Inauma.

Waliosema mabinti tujitunze hawakuwa wajinga kumbe.
Kama ni Ke akishaolewa atarudi tena humu nani akilalamikia mumewe hamfikishi kileleni kumbe mtu keshazoea michezo michafu.
 
Achana na hoja nyepesi eti anakuharibu, Sayansi inaweza kukufanyia mazingira ya wewe kujiskia salama

Lakini, ni hoja kuu ni kuwa HIYO NI DHAMBI.

Nje ya NENO LA MUNGU, Kila kitu ni halali...

Angalia NENO LA MUNGU na sio hoja zingine...
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.
Pole sana. Tunaweza tukakufikiria tofauti lakini tayari upo kwenye tatizo. Usitumie nguvu sana kutaka kumaliza hili tatizo.

Fanya jitihada za kukutana na daktari yoyote mwaminifu Kisha pima afya yako.

Ukipatikana ni mzima, zungumza nae vizuri kuhusu shida unayopitia. Akishakuelewa, mueleze kwamba unadhamiria kuja kupima afya na mpenzi wako huyo "mbabe" lakini katika vipimo ni muhimu kumueleza daktari kwamba majibu yako yatoke positive na ya huyo mbabe yatoke negative.

Daktari atatumia muda kuhusu kuwaeleza namna ya kuishi maisha ya utengamfu Kwa sababu mmoja Bado Hana maambukizi (atafanya hivi akiwa anajua lengo ni nini).
Bila shaka huyu mbabe atakuwa tayari kuanza safari yake bila wewe, "mgonjwa". Baada ya hapo, Anza maisha ya toba na kuachana kabisa na hiyo Tabia.

Usijiingize Tena kwenye mahusiano mapya Kwa haraka. Seek to heal! Hilo ni tatizo na unahitaji muda wa kupona. Jipe nafasi na muda na utakuwa sawa.
 
Mabingwa wa VIFIRO wanaendelea kumwaga ushauri mwanana.

Kwenye hili swala la ulaji wa kinyeo, kila mtu ni MSHAURI NASAHA.

Ooooohh usiliwe tigo, ooooooohhh jamani polee, oooooooohhhhh tigo vile tigo hivi, Ni maushauri kila pande.

NASEMAJEEE, NASEMAJEEEE, endelea KUBAMIZWA KINYEO.
 
Pole sana...

Mshitaki huyo kuwa anakulazikisha kufanya na anakutisha kuonyesha picha zako za utupu..

Omba Toba na Rehema kwa Mungu kwa ajili yako na kizazi chako...
Ndo nyie sasa.
Yeye kakili na kuchepuka na kuomba akaliwe. Haya,atafungua kesi mbili? Nae wapo alowalazimisha.

Na miaka hiyo yote alikuwa wapi akashitaki leo!? Bora angemuwekea na chupa ya Energy kabisa
 
Back
Top Bottom