- Thread starter
- #101
Ni kweli inabidi kuwa makini sana na kitu gani hasa cha kujumuisha lazima ipatikane dhima muhimu na pia namna ya kuhakikisha wanakuja tu wakusudiwa sio hao wengine. Naendelea kufanya utafiti.Utakimbizwa.
Utaambiwa una element za wale wengine.