Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
ungekuwa unatumia telegram usingepoteza data zako hata moja, mkiambiwa hameni huko whatsapp mnarukaruka tu Telegram baba lao, Whatsapp nimewaachia watoto na vijana wanaoanza kubalehe.Nawezaje kubadili simu yangu bila kuathiri data zangu zote za WhatsApp na vyote toka simu ya awali?
What can I do?
Help?