Nawezaje kubadili simu yangu bila kuathiri data zangu zote za WhatsApp na vyote toka simu ya awali?

Nawezaje kubadili simu yangu bila kuathiri data zangu zote za WhatsApp na vyote toka simu ya awali?

What can I do?

Help?
ungekuwa unatumia telegram usingepoteza data zako hata moja, mkiambiwa hameni huko whatsapp mnarukaruka tu Telegram baba lao, Whatsapp nimewaachia watoto na vijana wanaoanza kubalehe.
 
Bado haipo, sema ntanunua line mpya ya safaricom niibadili niweke namba ya line mpya
 
ungekuwa unatumia telegram usingepoteza data zako hata moja, mkiambiwa hameni huko whatsapp mnarukaruka tu Telegram baba lao, Whatsapp nimewaachia watoto na vijana wanaoanza kubalehe.
Telegram, tatizo ina searchable engine!, just like Google ndio tatizo lake!
 
Bado haipo, sema ntanunua line mpya ya safaricom niibadili niweke namba ya line mpya

Ukinunua line mpya bado hutaweza ku link na paypal acc yako ya zamani labda ufungue paypal mpya

BTW Sasa hivi kuna virtual visa/MasterCard za mitandao ya simu kwanini usitumie hizo mkuu?
Au hazikidhi mahitaji lazima utumie paypal?
 
Ukinunua line mpya bado hutaweza ku link na paypal acc yako ya zamani labda ufungue paypal mpya

BTW Sasa hivi kuna virtual visa/MasterCard za mitandao ya simu kwanini usitumie hizo mkuu?
Au hazikidhi mahitaji lazima utumie paypal?
Mimi napokea pesa sio kwqmbq naitumia kulipia vitu... Nnaweza kulink namba mpya kwa kuondoa namba ya zaman kwenye settings na kuweka mpya so mpya ndio itakuwa ikipokea msg sema hapo ndo sitoweza kupokea pesa via safaricom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…