Shida n kwamba mahusiano hayakwepekiBora hata kutafuta pesa mkuuπ
Hivi kumbe watu mnakula vitu vizuri na hamsemiπMoyo waachie wahind kadr unavo kuwa na uyo ambayo umkpenda mwazo anakuofa vtu vzr sana kwanz yy ndy anakupenda anakuzalia watt weny afya maana anaupendo wakwl then atakuombea uish maisha marefu kwaiyo mm mategemeo yangu nitatoboa umr ya mzee mwiny
Natamani kupata mwanamke wa hivi.Binafsi nakushauri chagua mwanamke anaekushauri kupambana kufika maendeleo fulani hasa ya kiuchumi
Pata mkuu wamejaaNatamani kupata mwanamke wa hivi.
Saiv kuwapata ni kazi tumebaki kuwatesa wanaotupenda uku tunao wapenda nao kututesaNatamani kupata mwanamke wa hivi.
Hawa kina mwajuma ndala ndefu?Pata mkuu wamejaa
πππππ» atwasanuiHivi kumbe watu mnakula vitu vizuri na hamsemiπ
Tusanueni jmn ubinadamu kaziπππππ» atwasanui
π€£π€£π€£ ivi ile msemo bdo kwl unaish syo et kla mbuz atakula kwa uref wakamba yake mm naona hii yangu yaeza kuta syo kamba n manati syo kwa kuvutka uko mpaka nimeshbaTusanueni jmn ubinadamu kazi
1. Asiwe mvivu wa kufanya kaziMkuu, andika zote.
Kimjini mjini ni sahohi sana achana na wote muoe huyuKwani we unatakaje mwenzi sahihi ni yule mwenye uwezo wa kukuvulia chupi bila kukuomba Hela km ukimpata huyo nakushauri chinja beberu kula na wenye uhitaji utadumu nae sana
Wangapi wamemshirikisha huyo Mungu ila hola.Mshirikishe mungu
Mungu hashindwi..
Unajua walimshirikisha kwa namna gani...?Wangapi wamemshirikisha huyo Mungu ila hola.
Ni kujifariji tu.
Hayanaga fomula mahusiano.
Na wewe ulijuaje na unajuaje kwamba waliokwama kwenye mahusiano yao, Hawaku mshirikisha huyo Mungu?Unajua walimshirikisha kwa namna gani...?