Nawezaje kuigeuza milioni kumi kuwa bilioni mbili ndani ya miaka mitano?

Nawezaje kuigeuza milioni kumi kuwa bilioni mbili ndani ya miaka mitano?

Kuwa Bilionea sio lazima utumie pesa zako. Tumia za watu ndio utafika mapema.
Mtazamo wa kutumia pesa zako ndio utoboe unachelewesha sana. Jifunze nqmna ya kutumia pesa, bidhaa, skills za wengine ili upate exponential financial growth.
Hii aliwahi kuifundisha Donald Trump kwenye vitabu vyake. Other people's Money (OPM).
 
Nitautumia huu ushauri wako bilionea.
Ni kweli. Kuna jamaa ni mtaoji sadaka mkubwa kuliko umri na muonekano wake, yuko kariakoo. Siku nakutana naye ananitembeza akaniambia yeye hatumii pesa zake, amefanya kazi na matajiri muda mrefu wanamuamini, anapewa bidhaa za viwandani tena hadi kutoka china bure, anauza anarudisha pesa zao na anakula faida.

Ndivyo alivyoniambia muuza dagaa mmoja Temeke Stereo. Anasema yeye hamjui hata anayemtumia dagaa, anasikia tu yuko kagera huko. Kule wanavua wanakausha wanapaki, wqnawatumia wao wanauza wanarushisha pesa yao na wanatumiwa tena mtaji uaminifu.

Pia kuna watu wanaoesa nyingi benk ni waoga, wengine hawana matumizi nazo, wengine waliiba tu serikalini, wengine ni urithi, chukua hizo, waazime benki zifanyie mambo ya maana alafu kula faida warudishie pesa zao na gharama kidogo ya kusaidia kulipa wafanyakazi wa benk, na majengo waliyopanga (riba).

Kama unaaminika unaweza kuwaomba wakakupa bila riba waliozitunza huko moja kwamoja.

Duniani huko ndivyo mambo yanavuoenda. Mtazamo eti hadi uwe na pesa zako ndio uwe tajiri ni mtazamo wa kijima na kimasikini sana.
 
Naomba usiniambie haiwezekani, tafadhali!

Hiyo milioni kumi haitatumika kwa kazi nyingine zaidi ya kuzalisha hela nyingine, ili baada ya miaka mitano ziwe zimeshafika bilioni mbili.

Ingekuwa ni wewe ungefanyeje?

Asanteni sana🙏
🤣🤣🤣 nigelifanya ivi hii 10 milion naingia pori za wamaasai nachukuwa kondoo ya bei poa na hakiksha kila kondoo mmoja na kula 25000/ kweny kondoo 100 na 2500000/ kila sku kwa mwez 75 milion kwa 1 yrs n 900 milion 🤣🤣🤣 ila hesabu ya kuwaza n raisi sana mkuu hyo kwa 10 milion uzalishe 2 billion daha akunaga
 
Ni kweli. Kuna jamaa ni mtaoji sadaka mkubwa kuliko umri na muonekano wake, yuko kariakoo. Siku nakutana naye ananitembeza akaniambia yeye hatumii pesa zake, amefanya kazi na matajiri muda mrefu wanamuamini, anapewa bidhaa za viwandani tena hadi kutoka china bure, anauza anarudisha pesa zao na anakula faida.

Ndivyo alivyoniambia muuza dagaa mmoja Temeke Stereo. Anasema yeye hamjui hata anayemtumia dagaa, anasikia tu yuko kagera huko. Kule wanavua wanakausha wanapaki, wqnawatumia wao wanauza wanarushisha pesa yao na wanatumiwa tena mtaji uaminifu.

Pia kuna watu wanaoesa nyingi benk ni waoga, wengine hawana matumizi nazo, wengine waliiba tu serikalini, wengine ni urithi, chukua hizo, waazime benki zifanyie mambo ya maana alafu kula faida warudishie pesa zao na gharama kidogo ya kusaidia kulipa wafanyakazi wa benk, na majengo waliyopanga (riba).

Kama unaaminika unaweza kuwaomba wakakupa bila riba waliozitunza huko moja kwamoja.

Duniani huko ndivyo mambo yanavuoenda. Mtazamo eti hadi uwe na pesa zako ndio uwe tajiri ni mtazamo wa kijima na kimasikini sana.
Issue ni nan atakupa hela zake.
 
Issue ni nan atakupa hela zake.
Anza kutengeneza ukaribu na uaminifu na watu wenye pesa. Tatizo masikini wanawachukia na kuwaonea wivu Matajiri. Ndio maana mabaya yakiwapata waliofanikiwa kifedha masikini ndio wa kwanza kufurahia.

Ukiaminika na ukawa na mawazo ya maana na circle ya maana utapata ni suala la Muda. Watu huwa wanatufuatilia bila sisi kujua, na swali na watu makini huwa nimpate wapi mtu mwaminifu na mchapakazi ili tushirikiane naye. Kuna wengine wanaoesa mingi ila hawana Muda wa kuzitumia. Wekeza kwenye vitu vitakavyokupa usumaku na kuaminika kwa walionavyo.
 
Kuwa founder wa Biashara yenye potential ambayo ipo vizuri Kwa mazingira yetu, then tafuta owners waweke hela .

Hii pia ni mbinu ambayo unaweza kuitumia kukua kiuchumi .

Kuna watu wana hela nyingi zipo tu ukiweza kuwa mwaminifu unapeleka wazo zuri kwake then yeye anakuwa owners then wewe unakuwa founders.

Unampa 80% wewe unachukua 20% tu katika faida


Kunduduliza itakuchukua muda mrefu kutoboa japo inawezekana .
 
Ni kweli. Kuna jamaa ni mtaoji sadaka mkubwa kuliko umri na muonekano wake, yuko kariakoo. Siku nakutana naye ananitembeza akaniambia yeye hatumii pesa zake, amefanya kazi na matajiri muda mrefu wanamuamini, anapewa bidhaa za viwandani tena hadi kutoka china bure, anauza anarudisha pesa zao na anakula faida.

Ndivyo alivyoniambia muuza dagaa mmoja Temeke Stereo. Anasema yeye hamjui hata anayemtumia dagaa, anasikia tu yuko kagera huko. Kule wanavua wanakausha wanapaki, wqnawatumia wao wanauza wanarushisha pesa yao na wanatumiwa tena mtaji uaminifu.

Pia kuna watu wanaoesa nyingi benk ni waoga, wengine hawana matumizi nazo, wengine waliiba tu serikalini, wengine ni urithi, chukua hizo, waazime benki zifanyie mambo ya maana alafu kula faida warudishie pesa zao na gharama kidogo ya kusaidia kulipa wafanyakazi wa benk, na majengo waliyopanga (riba).

Kama unaaminika unaweza kuwaomba wakakupa bila riba waliozitunza huko moja kwamoja.

Duniani huko ndivyo mambo yanavuoenda. Mtazamo eti hadi uwe na pesa zako ndio uwe tajiri ni mtazamo wa kijima na kimasikini sana.
Benki ndugu yangu na hayo mariba yao ni ngumu sana kutoboza! Labda kama utakuwa na uwezo wa kupewa billions ili ufanye vikubwa! Serikali imeshindwa kuwadhibiti benki katika utozaji wa riba. Kama wao benki wanapata riba ya single digit inakuwaje washindwe kupunguza riba kwa watu? Maza ni zero brain!
 
Back
Top Bottom