Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?


Ngumu Sana kuamini haya! Dawa ni Yesu tu. Ila hawasikiagi.
 
Muendelezo kaka
 
Pole aisee ila uliwezaje kung'ang'ana na manzi mwenye mapepo hadi ukafunganae ndoa kabsa wakati kitaani kuna mabinti kedekede wasio na vipengele
Mkuu, halafu hili jaribu lake nani angelipitia?Binti hakua na haki ya kuolewa?Na kama je kuna katabia kwa mkewe kalimsuit vizuri mleta mada na akaona mapepo si kikwazo! Hakuna mwanadamu anaejua ya mbeleni ni yapi,je!Angemkwepa huyu mkewe halafu akachukue hao ambao wewe umeona wako poa halafu waje wapate tatizo kubwa zaidi ya mapepo huku tayari wakiwa katika ndoa.Kwa mbaali nimeona kama una UBAGUZI.Hujawahi ona au kusikia kwa nguvu ya upendo tu mtu anaoa kipofu,muathirika wa ukimwi,n.K?
 
Pole sana japokuwa kuna watu watakubeza na kukataa baadhi ya mambo kwa upopoma wao wa kutokujua ulimwengu wa pili upoje lakini kulingana na maelezo yako huyo ni jini mahaba,na jini mahaba ni jini ambaye ana nguvu sana hasa akiwa ndani ya ukoo au uliyewekeana maagano nae..Kama ni jini mahaba wa vipengele hivyo viwili huyo hawezi kutoka mzee hata ufanye nini utadanganywa tu nenda kwa yesu mara kwa masheik atatulia tu baada ya muda atarudi na makali mara mbili yake trust me!! Ni heri umuache tu huyo mwanamke ana maagano aliyoyaweka huko nyuma tayari hawezi kuishi na mwanaume so sad!! Hili jambo limewahi kuntokea hata mimi lakini si kwa namna ya mateso unayopata wewe tulifika na mke wangu hadi kwa paroko lakin mwisho wa siku hakuna kilichofanyika ikabidi niachane tu na yule binti...
Rakims

KWANI HAYA MAMBO YA ULOZI YAPO KWELI?? TENA ZAMA HIZI ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIA???
Upo dini gani mkuu?
 
Why mnarudi nyumba hiyo hiyo
Hebu Hama nyumba uone
 
Sijawahi Jihusisha na mambo hayo.
 
pole mkuu
 
Ndo narejea nyumbani taendeleza
Pole sana mkuu kwa mkasa unaopitia. Ninakushauri uende kwenye kanisa la walokole ujieleze kwa Mchungaji, ukubali kuokoka wewe na mkeo hayo mateso yataisha. Ukiombewa bila kuokoka, unakuwa huna ulinzi wa kimungu juu yako ukirudi nyumbani na majini yanawarudia. Pia kuhusu changamoto unazopitia zinasababishwa na mapepo aliyonayo mke wako kwa sababu umemuoa mtu ambaye ni mke wao katika ulimwengu wa Roho. Kwa msaada wa kiroho nitumie namba yako ya simu pm tuwasiliane.
 
Nawewe ulipata mental disorder?
Sio mental disorder.
Sio mm ila ni mtu niliyekuwa nae kwenye mahusiano aliwai kupoteza mimba mbili hiv hiv kwa style sawa na hio sema yeye alikuwa ananiambia tu niseme kama sipo tayari waitoe na kwel zinatoka pasipo kutumia dawa yeyote.

Je hio nayo ni mental disorder?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…