Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Nasubiri ufike mwisho then nitatoa neno...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naishi naeUlijuaje?
Hadi chooni ulikuwa unamfatilia? Asije akawa alikunywa bila wewe kujuaNilikuwa naishi nae
alikuwa hajui chochote kuhusu dawa za au mbinu za kutolea mimba zaid ya vilivyokuwa ndan yake.Hadi chooni ulikuwa unamfatilia? Asije akawa alikunywa bila wewe kujua
Baadhi ya wanawake wenye hayo madubwasha huwa wazuri sana kwa sura, shepu hadi tabia, that why jamaa alishindwa kuachia.huyo ulienae ni mke wa huyo mdudu, umempora
Ilipoanzia fungua kiungoNaitwa Ododi 35yrs Mkazi wa Kimara Korogwe. Nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 6 nimebahatika kupata mtoto 1 ambae anafikisha mwaka mmoja tangu kuzaliwa na kuja kwenye hii dunia yetu ukiachana na wengine 7 ambao wapo kwenye ulimwengu mwingine.
Mlolongo haaaaa haaaa kaaa kimastaStory ya uongo! Ya kutunga.
Hahaaaaaa. Wasomi mna Mambo sanaHiyo Ni mental disorder..muone mwanasaikolojia
Nimekupa namba hyo mtafute huyo dogo na hana gharama ukitaka maelezo zaidi njoo PM maana najua atakuuliza umetoa wapi ila mmeweka hapo kwa maslahi ya wengine piaBaada ya kutoka hospital tulirejea nyumbani, na maisha yetu yakaendelea kama kawaida, nikaendelea kupigwa matukio kila siku, nikayumba sana kiuchumi. Alikuja mzee mmoja wa kisukuma huwa na fahamiana nae kwa muda akaniambia niende nyumbani Niliko zaliwa kweli nilifanya hivyo.
Nikiwa nyumbani nilipelekwa sehem na uncle wangu, nikakaa pale kwa muda wa siku nne nikiwa naendelea na visomo, kuna Bibi alikuja nakunambia mitihani yote inatokana na upande wa mwanamke ubabani kwao wanamambo mazito kidogo, Basi mimi nilimpa taarifa muhusika nikaomba aongee na