Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

Jini mahaba(spiritual husband)
Imagine umetumia mamilioni na kazi umefukuzwa huku sisi walokole nikiwemo Mimi ninaweza kumfukuza huyo jini bure within few minutes.
Binadamu acheni ubishi mtateseka sana na nguvu za kichawi.
Jini mahaba si hamu ya kungonoka mara kwa mara bali ni pepo unafunga nalo ndoa bila hiari au kwa hiari yako.
It's time now all people should come to Jesus.
Mkoani kwetu kuna kijana wa sekondari anapitia mateso ya kichawi baba yake kauza mali zote sasa nimemwambia aje Dar bila pesa na mtoto atapona.
 
Hizi mambo za mapepo majini na wenziwe hazina uhakika wa moja kwa moja, akili ya binadamu bado ni kitu kilicho na contradiction kubwa, inaweza kuwa ni matatizo ya akili tu. Poleni lakini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alikuwa hajui chochote kuhusu dawa za au mbinu za kutolea mimba zaid ya vilivyokuwa ndan yake.
Na hio ela ya kununua hizo dawa angeitoa wap kipind kile uchumi ulikuwa umeyumba
Kwa nini ulikuwa inaruhusu atolewe hizo mimba?
 
Kuna mwana mdogo wake alipata mtihani unafanana na huo, yeye alioa binti kumbe yule binti kaishazaa na jini bila kujijua kimbembe kilikuwa hapo, jana anataka demu wake, akaanza kumsumbua mshikaji na mkewe kwa pamoja, kahangaika kinoma, kaja kuponea kwa sheikh gan sijui magomeni huko.
 
Wale
"NITAFUPISHA HAPA, IKUMBUKWE HII NI STORI YA MAISHA YANGU KABISA KWA MUDA WA MIAKA 7, NIMEKUA NIKUZUNGUKA HUKU NA KULE KUTAFUTA MSAADA KWA KIPINDI HIKO CHOTE. NILITAMANI KUELEZEA KILA STAGE NILIYOPITIA ILI MWENYE UWEZO WAKUSAIDIA MAWAZO AJUE NIWAPI ANAWEZA SAIDIA."

J3 Tumeamka nimeendelea na kazi za kila siku, Ila hapa kuna maisha kidogo yalikua tofauti, Wife alikua ananiambia vitu vingi na vinatokea, Mala
Wale watoto Saba vipi?Malizia kabisa tujue wapi pa kuanzia tukomboe na watoto wetu hao
 
Kwa nini ulikuwa inaruhusu atolewe hizo mimba?
Uoga tu. Nilikuwa bado nipo shule na yeye alikuwa mfanyakazi home kwaiyo sikutaka nyumban wajue na kuachana nikitu ambacho hatukuwa tunaweza.
 
Kusoma Ilipoanzia

Sehemu ya Pili

-----

"NITAFUPISHA HAPA, IKUMBUKWE HII NI STORI YA MAISHA YANGU KABISA KWA MUDA WA MIAKA 7, NIMEKUA NIKUZUNGUKA HUKU NA KULE KUTAFUTA MSAADA KWA KIPINDI HIKO CHOTE. NILITAMANI KUELEZEA KILA STAGE NILIYOPITIA ILI MWENYE UWEZO WAKUSAIDIA MAWAZO AJUE NIWAPI ANAWEZA SAIDIA."

J3 Tumeamka nimeendelea na kazi za kila siku, Ila hapa kuna maisha kidogo yalikua tofauti, Wife alikua ananiambia vitu vingi na vinatokea, Mala nyingi akisema jambo na likatokea, Mfano nakumbuka alishanifanyia matukio mawili ndani ya siku 1, Siku hiyo alikua na mimba ya miezi kama minne nmetoka nampeleka pharmacy akanambia tu kiutani anatamani kuokota hela.

Basi nikawa namcheka tu nikapuuzia, tulipo kua tukirejea toka Pharmacy akanambia kachoka hawezi tembea nikaita Tax, wakati nakaribia kwenye Tax alinionyesha kibunda Kikiwa chini usawa mlango wa gari, akakiokota ilikua ni laki8, nilipata mshangao akacheka alafu hakusema kitu.

Tulipofika home alikuja rafiki yake kumuona, banda ya stori kadhaa akamwambia, leo atakama unaharaka vipi usipande bodaboda, akapuuzia alipokua akiondoka akadai kachelewa akaita boda, azikupita dakika 10 tunapigiwa simu wamedondoka kaumia vibaya.

Akawa ni mtu wa aina hiyo lakini lile tatzo lakukabwa halikuisha, Shida nyingine ikaja ata nikitongoza demu popote atajua hiyo kitu nayo imekua ikinivuruga sana.

Kuna sheikh mmoja yupo Ilala anaitwa sheikh Khalfan sikumoja baada ya dua alinambia tatzo la huyu jini wa mkeo ukisema uingize pesa yako kumtibu mkeo anakufungia kila kitu utaishiwa utakosa mpaka hela ya maji ya kunywa,

Na nikweli nakumbuka nimesha mpeleka wife kwingi nikifanya kutafuta tiba, basi nitapoteza kilakitu, yaani taishiwa na kazi tapoteza kabisa, Sasa ndugu zangu inawezekanaje kumuacha mwenzio akiugua kwa kuhofia hayo, Tatzo la hii michezo sio kama anakua kichaa au vipi hapana.

Ili niishiwe pesa tu naweza pata series ya wagonjwa, ndani ya mwezi mzima akaugua yeye, akaugua mama nyumbani wakawa wapokezana, ni mwendo wa hospital tu, imekua hivyo kwa muda sana.

.. Naomba niishie hapa kwa sasa, kwa mwenye uwezo au kujua wapi naweza pata njia ya kweli ya kutatua hili karibuni.
Pole sn ndg penye wengi haliaribiki jambo naimani utapata mwanga wa shida unayopitia
 
Pole sana Mkuu ni kuomba tuu hayo madudu yatatoka na kushirikisha Viongozi wa dini yako sasa hivi kuna hata wafanyakazi wa ndani wao ndio wanashiriki kusambaza haya madude kwa hiyo muwe makini sana..
 
Pole sana Mkuu ni kuomba tuu hayo madudu yatatoka na kushirikisha Viongozi wa dini yako sasa hivi kuna hata wafanyakazi wa ndani wao ndio wanashiriki kusambaza haya madude kwa hiyo muwe makini sana..
mbona hatari
 
Kusoma Ilipoanzia

Sehemu ya Pili

-----

"NITAFUPISHA HAPA, IKUMBUKWE HII NI STORI YA MAISHA YANGU KABISA KWA MUDA WA MIAKA 7, NIMEKUA NIKUZUNGUKA HUKU NA KULE KUTAFUTA MSAADA KWA KIPINDI HIKO CHOTE. NILITAMANI KUELEZEA KILA STAGE NILIYOPITIA ILI MWENYE UWEZO WAKUSAIDIA MAWAZO AJUE NIWAPI ANAWEZA SAIDIA."

J3 Tumeamka nimeendelea na kazi za kila siku, Ila hapa kuna maisha kidogo yalikua tofauti, Wife alikua ananiambia vitu vingi na vinatokea, Mala nyingi akisema jambo na likatokea, Mfano nakumbuka alishanifanyia matukio mawili ndani ya siku 1, Siku hiyo alikua na mimba ya miezi kama minne nmetoka nampeleka pharmacy akanambia tu kiutani anatamani kuokota hela.

Basi nikawa namcheka tu nikapuuzia, tulipo kua tukirejea toka Pharmacy akanambia kachoka hawezi tembea nikaita Tax, wakati nakaribia kwenye Tax alinionyesha kibunda Kikiwa chini usawa mlango wa gari, akakiokota ilikua ni laki8, nilipata mshangao akacheka alafu hakusema kitu.

Tulipofika home alikuja rafiki yake kumuona, banda ya stori kadhaa akamwambia, leo atakama unaharaka vipi usipande bodaboda, akapuuzia alipokua akiondoka akadai kachelewa akaita boda, azikupita dakika 10 tunapigiwa simu wamedondoka kaumia vibaya.

Akawa ni mtu wa aina hiyo lakini lile tatzo lakukabwa halikuisha, Shida nyingine ikaja ata nikitongoza demu popote atajua hiyo kitu nayo imekua ikinivuruga sana.

Kuna sheikh mmoja yupo Ilala anaitwa sheikh Khalfan sikumoja baada ya dua alinambia tatzo la huyu jini wa mkeo ukisema uingize pesa yako kumtibu mkeo anakufungia kila kitu utaishiwa utakosa mpaka hela ya maji ya kunywa,

Na nikweli nakumbuka nimesha mpeleka wife kwingi nikifanya kutafuta tiba, basi nitapoteza kilakitu, yaani taishiwa na kazi tapoteza kabisa, Sasa ndugu zangu inawezekanaje kumuacha mwenzio akiugua kwa kuhofia hayo, Tatzo la hii michezo sio kama anakua kichaa au vipi hapana.

Ili niishiwe pesa tu naweza pata series ya wagonjwa, ndani ya mwezi mzima akaugua yeye, akaugua mama nyumbani wakawa wapokezana, ni mwendo wa hospital tu, imekua hivyo kwa muda sana.

.. Naomba niishie hapa kwa sasa, kwa mwenye uwezo au kujua wapi naweza pata njia ya kweli ya kutatua hili karibuni.
Pole sana3,
Kwa kua upo DSM nikuombe uende hapo kwa Mwamposa au Suguye..utapata suluhisho la kudumu..fanya hivyo
 
Back
Top Bottom