Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Jini mahaba(spiritual husband)
Imagine umetumia mamilioni na kazi umefukuzwa huku sisi walokole nikiwemo Mimi ninaweza kumfukuza huyo jini bure within few minutes.
Binadamu acheni ubishi mtateseka sana na nguvu za kichawi.
Jini mahaba si hamu ya kungonoka mara kwa mara bali ni pepo unafunga nalo ndoa bila hiari au kwa hiari yako.
It's time now all people should come to Jesus.
Mkoani kwetu kuna kijana wa sekondari anapitia mateso ya kichawi baba yake kauza mali zote sasa nimemwambia aje Dar bila pesa na mtoto atapona.
Imagine umetumia mamilioni na kazi umefukuzwa huku sisi walokole nikiwemo Mimi ninaweza kumfukuza huyo jini bure within few minutes.
Binadamu acheni ubishi mtateseka sana na nguvu za kichawi.
Jini mahaba si hamu ya kungonoka mara kwa mara bali ni pepo unafunga nalo ndoa bila hiari au kwa hiari yako.
It's time now all people should come to Jesus.
Mkoani kwetu kuna kijana wa sekondari anapitia mateso ya kichawi baba yake kauza mali zote sasa nimemwambia aje Dar bila pesa na mtoto atapona.